Maliza basi nimechoka!

Maliza basi nimechoka!

Ukiwa mbinafsi lazima atakwambia tu!
Saa nzima umeng'ang'ania kifuani mpaka Ute unakauka Uko tu,usivyomjali sasa hata muda wa ku observe changes kwake huna unasubiri yeye akwambie kama kamaliza! Ndio maana wanawadanganya!!!
Tena ukipata aliye vizuri kichwani anakusukumiza!!!!
 
hebu thibitisha ww bi dada ni kweli unakuwa umkereka.......... Halafu hyo ID yako inanikumbusha mbali sana

ni kweli unakua unamchosha tu mtu unaamuaaa kumwambia amlize tu

inakua karaha tu ko bora amalize
 
hahahahaha wasio jua kazi wapoje 64Bits
Teheeee mwenzangu utakuta mtu anavuta vuta vich.ch. kwa sekunde kumi halafu mikono mikavuuuuu unaishtukia ipo bustanini. Ndugu lazima uhisi unachomwa na miba lol! Ile hujakaa sawa kitu hicho kama anapanda farasi nakwambia ni kichi kichi kichi....heeee baba maliza nimechoka unantia shombo tu mfyuuuuuu!
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa mbinafsi lazima atakwambia tu!
Saa nzima umeng'ang'ania kifuani mpaka Ute unakauka Uko tu,usivyomjali sasa hata muda wa ku observe changes kwake huna unasubiri yeye akwambie kama kamaliza! Ndio maana wanawadanganya!!!
Tena ukipata aliye vizuri kichwani anakusukumiza!!!!

Teheeee hii nimeipenda... ya kumsukumiza tena lolest!
 
pole wewe unaefikiri ni jukumu la mwanaume tu.

ha ha ha kwenye mapenzi sio jukumu la men tuu raha ya penzi wote tuchezea position zetu,,...
nimempa mfano ya kwamba huyu mtoa mda kann mwanamke alalamike amechoka boss
 
mmu kiboko

acha nami nihamie huku nipate maujanja ya leo leo
 
kwanza hapo hakuna mapenzi kabisaaa!!
lazima itakuwa yupo na wewe kwa sababu fulani tu, na anapokuwa kwa kitanda na wewe anakuwa hana hisia na wewe na ndiyo maana anakuwa kama anakereka na anataka umalize mambo yako aondoke zake kwa mwenye hisia naye

kwa upeo wangu mm hata kama bi dada atakuwa kachoka ama kuridhika yeye kabisa hawezi kukuambia maneno kama hayo
atakuwa na maneno kama vile ''mbona kama naumia??'' ''tumbo linaniuma'' zaidi zaidi atasema ''tupumzike zaidi mpenz''
 
Anadanganya kukupa wewe matumaini, ongeza bidii humridhishi huyo
 
Teheeee mwenzangu utakuta mtu anavuta vuta vich.ch. kwa sekunde kumi halafu mikono mikavuuuuu unaishtukia ipo bustanini. Ndugu lazima uhisi unachomwa na miba lol! Ile hujakaa sawa kitu hicho kama anapanda farasi nakwambia ni kichi kichi kichi....heeee baba maliza nimechoka unantia shombo tu mfyuuuuuu!

I see!!! mie mwanafunzi...
 
we unamkera sana au ukidindisha unasukumia tu? uwe unamuandaa vizuri atautafuta mwenyewe msumali wa moto tena kwa kasi ya hatari
 
Sometimes bana mnakera hakuna cha kubembeleza, mahaba sifuri si unajua tena sie na mood swings et al,
Mtu yuko resi utadhani mashindano fulani hivi basi unamuachia tuuu ili ajione mshindi ....maliza haraka nilale basi. :juggle:

ID yangu imekukumbusha wepi tena Mgirik.... Nihadithie kiduchu


Kwetu mwanza wanasema 'unagegeda kama unatwanga kinu!!"
 
Teheeee mwenzangu utakuta mtu anavuta vuta vich.ch. kwa sekunde kumi halafu mikono mikavuuuuu unaishtukia ipo bustanini. Ndugu lazima uhisi unachomwa na miba lol! Ile hujakaa sawa kitu hicho kama anapanda farasi nakwambia ni kichi kichi kichi....heeee baba maliza nimechoka unantia shombo tu mfyuuuuuu!

hahahahahahaha
ukiona hivyo si unamuelekeza jamani kwamba bado asipande farasi
 
akikuambia hivyo mwambie nakuongezea hela

umenichekesha sana kashesho...kwamba kama dau lilikuwa 30K unamwambia nakupa 50K utaona ushirikiano umengoezeka sio

Kusema ukweli kauli kama hiyo inakera sana na hii ndio sababu watu 'kupotezana' baada tu ya siku ya kwanza.....sababu zipo nyingi kama walivyosema wengine, ila kwa maoni yangu na kuongezea ni tabia mbaya tu ya baadhi ya wanawake hasa 'wauzaji' ambao nadhani anataka pesa ila kugegedwa bara bara hataki.....

CC Excel
 
Last edited by a moderator:
Kama imetokea hivyo mara moja mbili hamna shida ila kiwa mara kwa mara jua unaibiwa hapo you need to change your tactics
 
Back
Top Bottom