tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,310
Ya nini niende park isiyokua na unique atraction,,,,, ni bora nibadili direction.
we mwanamke
Huyo haenjoy chochote angekuwa anaenjoy msingekuwa mnalala...! Ile makitu tamu bwana asikuongopee mtu
Sio kuwa unasusa kabisa..
Sometimes bana mnakera hakuna cha kubembeleza, mahaba sifuri si unajua tena sie na mood swings et al,
Mtu yuko resi utadhani mashindano fulani hivi basi unamuachia tuuu ili ajione mshindi ....maliza haraka nilale basi. :juggle:
ID yangu imekukumbusha wepi tena Mgirik.... Nihadithie kiduchu
Umeona eeh.... unafanya tu bora liende na vilio vya uongo uongo..basi he anaona kapatiiiiiaaaa
ukweli ndio huo we mwanaume
tutafika tu. Lengo si kuridhika mm ww ukiniletea uongo wako poa ila mm tayar nishamaliza kwako kesho nampigia hesabu mwingne
mbona mi wangu hata dk moja haifiki anasema inauma lakini ananipenda mpaka kichwa kinamuuma .....najua utaniuliza nimejiuaje kama ananipenda
Tena usiombe awe anatiririka jasho wakat wa ile shughuli,unaeza ukalia,ebu malizia huko nkaoge,unachmba sana unadhan utakutana na madin!duh..
Umejuaje?
mwenyewe kwa mdomo wake kaniambia...
Tena usiombe awe anatiririka jasho wakat wa ile shughuli,unaeza ukalia,ebu malizia huko nkaoge,unachmba sana unadhan utakutana na madin!duh..
ila wanawake wana roho mbaya na ngumu...usikute huyo ndio mumeo ambaye mwaka wa sita unalala nae kitanda kimoja
Jamani inauma yani only 5dk aiseee huyo atakuwa hakufeel kabisa
Excel sometimes sio kuwa amechoka but she doesn't feel the man..so anaona usumbufu tu...for the first time nasikia bao la kwanza mtu kachoka..
dalili za uchafuzi hizo... kuleni kabla basi mpunguze uchovu asije akakufia kifuani mtoto wa watu...
jaribu kumsakia mpenzi wako vyakula vya kum-tia nguvu mwilini kabla hujam-tia adabu..