Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Ninapenda kujua kama malipo yanayoitwa Mkakati kwa shule ya msingi kwa wanafunzi wa darasa la nne na saba ni halali.
Kwa mfano katika Kata ya Oloirien - Manispaa ya Arusha watoto wanalipa Sh. 1,200 kwa juma. Kiasi hicho kwa mwezi ukiweka na mitihani ya mwisho wa juma ni Sh. 5,000 x miezi 8 ni Sh. 60,000. Kiasi hicho ni zaidi ya ada inayolipwa kwa mwanafunzi wa shule ya Sekondari ambayo sio zaidi ya Sh.20,000/=.
Kwa wanafunzi 100 waalimu wanajikusanyia milioni 6 juu ya mishahara yao.
Kwa mfano katika Kata ya Oloirien - Manispaa ya Arusha watoto wanalipa Sh. 1,200 kwa juma. Kiasi hicho kwa mwezi ukiweka na mitihani ya mwisho wa juma ni Sh. 5,000 x miezi 8 ni Sh. 60,000. Kiasi hicho ni zaidi ya ada inayolipwa kwa mwanafunzi wa shule ya Sekondari ambayo sio zaidi ya Sh.20,000/=.
Kwa wanafunzi 100 waalimu wanajikusanyia milioni 6 juu ya mishahara yao.