kiroroma2630
Senior Member
- Sep 11, 2014
- 150
- 34
Kuna swali limekuwa likinitatiza mda mrefu sana.kuhusiana na hawa ndugu zetu askari wa usalama barabarani unapokuwa na kosa anakuandikia ni lazima ulipe hapo hapo? Sababu jana tumepata shida sana mbele ya Ubungo plaza nafikiri walitumwa hesabu coz kuna hiyo barabara ya kati kuna vijana wanazuiaga hawa wa starbag lakini jana walikuwepo na kamba waliziachia ikabidi tuhamie huko mbele jamaa wamekaa na vitabu wanaandika 60000 kama huna Acha funguo ni utaratibu kweli? Nikamwambia naingia kwenye gari nichukuwe cm zangu hawataki