Malipo ya fundi wa tile kwa skwea mita(square metre) ni sh. ngapi

Malipo ya fundi wa tile kwa skwea mita(square metre) ni sh. ngapi

Suip

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,374
Reaction score
848
Wadau nategemea kuwekea sakafu tiles,sasa changamoto ni malipo ya fundi mweka tiles,maana kuna fundi ambaye alifanya shughuli nyingine za ujenzi ananiambia kuwa square mita ni sh. 9000.
Mafundi wengi ni madalali anauza kazi kwa mwingine naye ale chake.
Naomba kwa wenye uzoefu ni sh. ngapi kwa square mita
 
Wadau nategemea kuwekea sakafu tiles,sasa changamoto ni malipo ya fundi mweka tiles,maana kuna fundi ambaye alifanya shughuli nyingine za ujenzi ananiambia kuwa square mita ni sh. 9000.
Mafundi wengi ni madalali anauza kazi kwa mwingine naye ale chake.
Naomba kwa wenye uzoefu ni sh. ngapi kwa square mita
Anakupiga huyo, huyu hapa kanijengea kwa 4,500/Sqm.

0767 013 285
 
Fundi wa tiles anatafutwa mtandaoni. Ili tu tujue kuwa una nyumba ya tiles?
 
Back
Top Bottom