Malipo ya fao la kujitoa NSSF

Malipo ya fao la kujitoa NSSF

Ndugu yangu nashukuru kwa hili jibu lako,ila nilitaka kufahamu zaidi kwa wale ambao walishafungua madai maana mimi yangu nilitarajia ningelipwa ndani ya mwezi lakini sasa nimeambiwa miezi mitatu.Je kuna mtu humu ambaye alishafanikiwa kufungua na kulipwa ndani ya huo mwezi mmoja?

Nimewahi pewa ndani ya mwezi mmja, tho niliambiwa ni baada ya siku 90..... Nilipigiwa tu simu nikaambiwa check tayar bila usumbufu. Ila ilikua ni mwaka 2016
Naweza sema si wasumbufu nssf nimefanikiwa pata changu mara mbili bila shida. Labda shida ianze hapo kwenye hio sheria inayosubiriwa ndo isababishe usumbufu
 
Walikuahidi uje baada ya 90 days ili kuivutia sheria ya socia funds ipitishwe.
Wenzako waliahidiwa miezi 6 (180 days) mpaka leo hata sumni hawajapata.
Utapata ila si chini ya uongozi huu wa Bwashehe.
 
Nimewahi pewa ndani ya mwezi mmja, tho niliambiwa ni baada ya siku 90..... Nilipigiwa tu simu nikaambiwa check tayar bila usumbufu. Ila ilikua ni mwaka 2016
Naweza sema si wasumbufu nssf nimefanikiwa pata changu mara mbili bila shida. Labda shida ianze hapo kwenye hio sheria inayosubiriwa ndo isababishe usumbufu
nimetafuta sana huo muswada wa sheria sijauona unafahamu wapi naweza kuupata nimeona ule kuunganisha nmifuko na kuunda PSSSF niupitie nijiandae kisaikolojia kabisa
 
Mkuu kwa jinsi nilivyofatilia taarifa za hili fao since early last year (personal follow up ya conversations mbalimbali), ni kwamba hii kitu hawatoi tena, nilimwuliza jamaa mmoja wa nssf akaniambia hiyo kitu haipo tena na hata ukistaafu unapewa amount ndogo tu ya mkupuo (3 months gross) then utapewa ndo ndo ndo 80% ya salary mpaka ukifa inastop, kwahiyo mkuu, ikifika siku nenda, al muhimu jiandae kisaikolojia
Wanalipa kwa waliofukuzwa kazi na ambao kazi zao zilikua kwa mkataba. Sasa mtoa mada hajasema kama aliacha kazi au alifukuzwa..kama aliacha sidhani kama atalipwa maana ndio hilo fao la kujitoa ambao lilifutwa. Ila pamoja na kwamba waliofukuzwa kazi wanapaswa kulipwa baada ya miezi 6 bado nssf wanazungusha sana ndio hizo kalenda njoo baada ya miez mitatu na bullshits kibao wakati kisheria ni haki yako na wao wanajua..sijui wamerogwa na nani...hii nchi mi ntahama.
 
Nimewahi pewa ndani ya mwezi mmja, tho niliambiwa ni baada ya siku 90..... Nilipigiwa tu simu nikaambiwa check tayar bila usumbufu. Ila ilikua ni mwaka 2016
Naweza sema si wasumbufu nssf nimefanikiwa pata changu mara mbili bila shida. Labda shida ianze hapo kwenye hio sheria inayosubiriwa ndo isababishe usumbufu
Ulilipwa Ndani ya mwezi mmoja baada ya kuacha kazi au mwezi mmoja baada ya miezi 6 ya kusubiri?
 
Wanalipa kwa waliofukuzwa kazi na ambao kazi zao zilikua kwa mkataba. Sasa mtoa mada hajasema kama aliacha kazi au alifukuzwa..kama aliacha sidhani kama atalipwa maana ndio hilo fao la kujitoa ambao lilifutwa. Ila pamoja na kwamba waliofukuzwa kazi wanapaswa kulipwa baada ya miezi 6 bado nssf wanazungusha sana ndio hizo kalenda njoo baada ya miez mitatu na bullshits kibao wakati kisheria ni haki yako na wao wanajua..sijui wamerogwa na nani...hii nchi mi ntahama.
Walinieleza yote hayo na hivyo barua yangu nilihakikisha inasoma jinsi wanavyotaka na wakakubali nifunguee na sasa wamenipa siku tisini.Ninachotaka kujua kwa mtu ambaye amewahi kulipwa recently je kweli wanalipa ndani ya hizo siku tisini?
 
Mkuu kwa jinsi nilivyofatilia taarifa za hili fao since early last year (personal follow up ya conversations mbalimbali), ni kwamba hii kitu hawatoi tena, nilimwuliza jamaa mmoja wa nssf akaniambia hiyo kitu haipo tena na hata ukistaafu unapewa amount ndogo tu ya mkupuo (3 months gross) then utapewa ndo ndo ndo 80% ya salary mpaka ukifa itastop, kwahiyo mkuu, ikifika siku nenda, al muhimu jiandae kisaikolojia
Kwahiyo ule mtindo wa kulipwa milioni 100 tuusahau? Mimi nipo PSPF, nayo inahusika na utaratibu huu?
 
....kulipwa utalipwa, ila hizo 90 days zidisha mara nne ! .....tena baada ya kuwa mshari flani hivi
Kuingia NSSF ni siku moja ili kuondoka ni siku 90.
Mkuu kwa jinsi nilivyofatilia taarifa za hili fao since early last year (personal follow up ya conversations mbalimbali), ni kwamba hii kitu hawatoi tena, nilimwuliza jamaa mmoja wa nssf akaniambia hiyo kitu haipo tena na hata ukistaafu unapewa amount ndogo tu ya mkupuo (3 months gross) then utapewa ndo ndo ndo 80% ya salary mpaka ukifa inastop, kwahiyo mkuu, ikifika siku nenda, al muhimu jiandae kisaikolojia
Haya Ma Pension funds yanakula hela za watu bure tu, inabidi mfanyakazi uwe na options, in or out...
Majuu hizi funds zimetapeliwa sana, kuanzia kwa makampuni binafsi mpaka dola..
Heri uwekeze kwenye nyumba ya kupangisha tu (isiyo na utata)..
Mkubwa aliyeleta thread atazungushwa kama PIA! Hawana tofauti na Mabenki hao, kuweka hela fasta, kutoa aisee..! Mpaka utazira..
 
Kwa nini bado kuna watu wanaamini kuwa mifuko hii ni sawa na saving accounts za benki? Yaani bado kuna watu hawajui dhumuni ya sheria ya uanzishaji wa hii mifuko hadi kufikiri wanaweza kujitoa na kujiunga kama wapendavyo any time any where? It is very pathetic.
 
Kwa nini bado kuna watu wanaamini kuwa mifuko hii ni sawa na saving accounts za benki? Yaani bado kuna watu hawajui dhumuni ya sheria ya uanzishaji wa hii mifuko hadi kufikiri wanaweza kujitoa na kujiunga kama wapendavyo any time any where? It is very pathetic.
Not pathetic Sheria ilipotungwa hii mifuko haiku tazama changamoto zote na kuziwekea mikakati kwa mfano kipindi hiki kuna mass unemployment na watu wengi wanajikuta hawana ajira kwa hiyo inakuwa ngumu sana kwa mifuko kuwazuia wasijitoe.Nafikiri tatizo ni jinsi mifuko inavojiendesha
 
HILI JAMBO KWA AJIRA ZA MIAKA MITATU MITATU KWENYE PRIVATE COMPANY LINAWA KERA SANA KAMA WANAJENGEA VIWANDA NI BORA HIZO PENSION WAZICONVERT KATIKA HISA ZA VIWANDA ITAKUWA BORA ZAIDI SIO KUZUIA PESA ZA WATU WAO WALIPEWA KUTUNZA TU NA PIA WALIOMBA KUZITUNZA KWA SABABU KUJIUNGA HII MIFUKO KAMA NI HIARI WENGI WANGEKATAA HASA KWENYE PRIVATE COMPANY😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱
 
Kwa nini bado kuna watu wanaamini kuwa mifuko hii ni sawa na saving accounts za benki? Yaani bado kuna watu hawajui dhumuni ya sheria ya uanzishaji wa hii mifuko hadi kufikiri wanaweza kujitoa na kujiunga kama wapendavyo any time any where? It is very pathetic.
Mkuu dhumuni ni kujengea fedha za wanachama madaraja na majengo marefu ambayo mpaka leo hayana wapangaji?
 
Kama ulifukuzwa kazi sahau ila kama ulufukuzwa utapewa .kukuambia uje ni kawaida yao kukuandaa kisaikolojia ila kukupa itajambo lingine
Ndo nini sasa mkuu umejibu hapo
 
Mkuu fao la kujitoa lilishafutwa. Hautalipwa hiyo pesa mkuu. Utazungushwa tu
Mimi nipo PPF fao la kujitoa lishafutwa rasmi..hela utapata baada ya miaka 55 ukitimoza kiumri

Walikuja kazini kutupa semina ..only watakao pata ni wale wenye retrenchment tu..hapo sahau mkuu
 
Serikali ya sasa ni shida saana..kodi tumelipa...mkopo wa bodi tumelipa..hela yetu ya akiba ya pension nayo wanaiba kama rambi rambi...so sad aisee..kwanini wafanyakazi tusiandamane nchi nzima..uzuzu huu mpaka lini..hela ya bodi ya mikopo tumelipa..mimi naona iundwe tume watu waandamane nchi nzima kudai haki ya pension yao
 
Mkuu dhumuni ni kujengea fedha za wanachama madaraja na majengo marefu ambayo mpaka leo hayana wapangaji?
Dhumuni ni kuwawekea pension yao ya uzeeni. Hii ni mifuko ya pension ya uzeeni (kuanzia umri wa miaka 55). Mfanyakazi anachangia 6% ya mshahara wake kila mwezi na muajiri wake naye anachangia kiasi hicho hicho kwa kila mfanyakazi wake. Hii ni kwa mjibu wa sheria na pesa hizi huwakilishwa kwenye mifuko hii. Mfanyakazi akiacha au kufukuzwa kazi michango hii husimama. Akipata ajira sehemu nyingine michango hii huendelea. Atakapozeeka na hivyo kutokuwa na nguvu ya kuendelea na kazi (at 55 years of age or above) mifuko hii itaanza kumlipa pension nono ya mkupuo na baada ya hapo kila mwenzi hadi mwisho mwa maisha yake. Akifariki kabla ya hapo wategemezi /warithi wake watalipwa hayo malipo yake ya mkupuo (death gratuity). Ni makosa makubwa kuifananisha mifuko hii na savings accounts za benki!.
 
Dhumuni ni kuwawekea pension yao ya uzeeni. Hii ni mifuko ya pension ya uzeeni (kuanzia umri wa miaka 55). Mfanyakazi anachangia 6% ya mshahara wake kila mwezi na muajiri wake naye anachangia kiasi hicho hicho kwa kila mfanyakazi wake. Hii ni kwa mjibu wa sheria na pesa hizi huwakilishwa kwenye mifuko hii. Mfanyakazi akiacha au kufukuzwa kazi michango hii husimama. Akipata ajira sehemu nyingine michango hii huendelea. Atakapozeeka na hivyo kutokuwa na nguvu ya kuendelea na kazi (at 55 years of age or above) mifuko hii itaanza kumlipa pension nono ya mkupuo na baada ya hapo kila mwenzi hadi mwisho mwa maisha yake. Akifariki kabla ya hapo wategemezi /warithi wake watalipwa hayo malipo yake ya mkupuo (death gratuity). Ni makosa makubwa kuifananisha mifuko hii na savings accounts za benki!.
Hivi kwani ni lazima kufanya kazi hadi miaka 55?what if sitaki kazi tena and am 30 or 40?
What if nimefukuzwa Kaz saiv na sijaajiriwa tena ina maana nasubiri kulipwa hiyo hela for the many coming years?factor ya inflation rate inakuaje
Hivi na wanajeshi au wabunge wanasubiri mpaka hiyo miaka maana wanajeshi wana staafu chin ya hiyo 55 na mbunge anastaafu any time refer kafulila au hiyo ni kwa sisi wanyonge tu
Sitasahau these two years tunaofanya Kaz private companies
Ajira imekua ngumu na serikali haiajiri tena shule siend tena coz Nina zaid ya three years toka memaliza diploma mkataba Wa kazi uko mwishon sitaongezewa tena coz company haiperform vizuri kibiashara hatimae FAO langu LA Nssf sipewi ili angalau nifungulie genge na tunaambiwa tujiajiri
FOR GOD SAKE I HATE TO BE TANZANIAN
 
Mkuu,usipoteze muda wako bure.
Mwezi wa tatu ndio bunge linakaa kujadili watu walipwe au wasilipwe,na kama ni kulipwa ni kwa njia gani.

Kwa sasa subiri hadi miezi 6 iishe ndipo uraise claims zako.

Hakuna cha 90 days hapo.
Uko sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom