TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
NDUGU WATANZANIA WENZANGU , YULE MTABIRI, MGANGA,MCHONGANISHI NA MCHAWI MAARUFU TANZANIA NA AFRICA MASHARIKI AMEFARIKI JUZI
NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI BAADHI YA VIONGOZI WAKE AKIWEMO MH. MALIMA WALILIA SANA MAANA MAJINI YALIYOKUWA YANAWALINDA MKUU KAONDOKA NAYO, NI HERI AMEKUFA KABLA UCHAGUZI WA BAVICHA MAANA ANGEANZA TU NA UCHAWI WAKE TENA
ONA HAPA CHINI"Malima, akiwa makaburini alishindwa kujizuia na kujikuta akibubujikwa machozi na kumfanya kuwa katika wakatika mgumu kila mara hasa alipokuwa akiuangalia mwili wa mnajimu huyo"
KAZI IPO
NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI BAADHI YA VIONGOZI WAKE AKIWEMO MH. MALIMA WALILIA SANA MAANA MAJINI YALIYOKUWA YANAWALINDA MKUU KAONDOKA NAYO, NI HERI AMEKUFA KABLA UCHAGUZI WA BAVICHA MAANA ANGEANZA TU NA UCHAWI WAKE TENA
ONA HAPA CHINI"Malima, akiwa makaburini alishindwa kujizuia na kujikuta akibubujikwa machozi na kumfanya kuwa katika wakatika mgumu kila mara hasa alipokuwa akiuangalia mwili wa mnajimu huyo"
KAZI IPO