wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Basi chadema watafurahia sana...hahahahahaha......wanajipoza baada ya maumivu...
Hebu jaribu kuficha upumbavu wako uliotukuka,Chadema watafurahia kwa lipi?kwani hiyo hasara inamkumba nani? wewe hujui kuwa ni taifa zima imekula kwetu wakiwemo na wasio na vyama?Basi chadema watafurahia sana...hahahahahaha......wanajipoza baada ya maumivu...
Wewe ni mjinga kweli the day is coming for which you will be obliged to pay the price,ccm mmeiharibu Sana Tanzania