Mali za mtoto wa Rais, Abdul Hassan zimeandikwa kwa Majina ya China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania

Mali za mtoto wa Rais, Abdul Hassan zimeandikwa kwa Majina ya China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Machine kadhaa na magari mfano ile Rolls Royce yenye insurance ya Sh.55,000,000 ni mali ya Abdul. Ameiandikisha kwa China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania.

Nchi inamegwa halafu wanaweka majina ya Wengine


Britanicca
IMG_4316.jpeg
IMG_4315.jpeg
IMG_4314.jpeg
 
Jamaa mmoja kaandika acha wale, waibe na wavembewe, ukiendelea kushupalia shingo utajipa presha ya kushuka na magonjwa mengine.

Zaidi watanzania wenyewe sisi hatuwezi kufanya lolote, zaidi ya kupambana mitandaoni.
 
Machine kadhaa na magari mfano ile Rolls Royce yenye insurance ya Sh.55,000,000 ni mali ya Abdul. Ameiandikisha kwa China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania.

Nchi inamegwa alafu wanaweka majina ya Wengine


Britanicca View attachment 3453662View attachment 3453663View attachment 3453664
Mbona hiyo Rolls Royce ni Ile ya kichina copy inauzwa dollar elfu 9 hata Alibaba unaweza kununua ukaletwa mpaka mlangoni na AliExpress hata kama unaishi mburahati, mbauda au Nyarugusu?

 
Back
Top Bottom