Malezi ya watoto wadogo yanaboa jamani, mweeeeeeee!

Unao wangapi? Huwa hamuwakatazi kuchezea chezea vitu? Panga budget ya kuwanunulia makorokoro yao ya kuchezea na kujifunzia.

Kadri unavyompa mtoto uhuru wa kucheza na vitu ambavyo unahisi ataharibu ndio anavyozoea na mwisho wake inakuwa ni kitu cha kawaida tu.Kwa mfano key board ya laptop yangu alikuwa anatoa button za herufi na namba ila baadae ameacha kabisa.Haoni laptop ni kitu cha ajabu....sasa mzee mambo ya kukatana kichwa kwa luninga tena ndio mambo ya wapi hayo???
 
ndyoko unachemsha baraza eeenh? Mtoto hawezi kuvunja kioo cha tv, it is extra hard glass, sio kama kioo cha kujitazamia.
 
Na bakora Mungu akikupiga kwa kusema maneno mabaya juu ya kutaka kumdhuru mwanao unaona sifa kuandika humu?

Unasikitisha ingekuwa nakujua ningekuitia social services wachukue huyo mtoto maana yupo hatarini, kwa nini mwanao usiemfunza vizuri unafikiria hicho eti sababu ni mpira?????

very sad, kuna wengi wanawish wapate watoto na hawapati, wengi wanafurahia kukuza wanao kwa matunzo na mafunzo mazuri.

jirekebishe na muonge Mungu msamaha, sabau maneno tuyanenayo mara nyingi ni yanakuja kupita sababu mtu unajiwekea mwenyewe balaa
 
Pole sn mkuu,najua umeandika kwa hasira but punguza hasira ni mambo ya watoto tu hayo!wao wala hawaelewi walitendalo kbs!
 
Yaani hapa amevunja screen ya Tv hata sijui mechi ya man utd ntaenda angalia wapi, maana bar nako ni mikelele tupu. Natamni hata 'nimkate' kichwa aisee sema tu hii serikali itaingilia kati. Na kale ka ugomvi kake na aliyemuachia nyonyo ni kama kamemwagiwa petroli.

Jamani wenzangu unatumia njia gani, mbona mwenzenu ni kama wodi ya watoto hospitali. Kuna kila dalili ya kuanza ku-apply ule usemi usemao 'spare the rod spoil the child' ingawa najua watani-mind sana. Nshachoka mie!

Usiku mwema bandugu!

Dawa yake ni kumtafutia huyo "mharibifu" mdogo wake. Fanya hivyo halafu uje kutuambia matokeo yake
 
Hebu muombe mungu msamaha akufutie uliyoyanena yote kwani kuna usemi usemao ulimi huumba waweza kuja kujishangaa unapomuua mwanao kwa mikono yako mwenyewe na pia mshukuru mungu kwa kukupatia mtoto kwan wapo wanaotaman kumpata wa kuwaharibia vitu lkn hawajampata na hakika huwezi kuthaminisha uhai wa mtu na kitu chochote kile.
 
Ni mtoto wako ama umesingiziwa? How could you dare do that? TV mbona utazichanga utapata nyingine...but life once gone ndo bye bye

Hivi unajua maana ya neno kuwekewa top brackets? Walioelewa wala hawakufika huko. Nyie ndo mnaotafsiri mambo bila kujua neno lina maana gani. tena mmenikumbusha jinsi Augustino Mrema alivyotafsiri kauli ya mwali ya "I can't leave my country to the dogs". Jaribu kufikiria kidogo unapoona neno limewekewa top brackets, na kama huelewi basi usikimbilie kutoa tafsiri kwa hisia. Shida ya kusoma sekondari au vyuo vya kata matokeo yake ndo hayo.
 
Hivi unajua maana ya neno kuwekewa top brackets? Walioelewa wala hawakufika huko. Nyie ndo mnaotafsiri mambo bila kujua neno lina maana gani. tena mmenikumbusha jinsi Augustino Mrema alivyotafsiri kauli ya mwali ya "I can't leave my country to the dogs". Jaribu kufikiria kidogo unapoona neno limewekewa top brackets, na kama huelewi basi usikimbilie kutoa tafsiri kwa hisia. Shida ya kusoma sekondari au vyuo vya kata matokeo yake ndo hayo.

Pole Ndyoko nilijua tu kitakachokuja baada ya hapo some pple are just too serious with everything! Wakati it was just a funny thing!! Nilitaka kuachia kicheko cha comment ghafla nikaanza kukutana na wanaharakati wa haki za watoto na majazba lol! Jamani ye mwenyewe muweka mada ametushirikisha ktk hali tu ya kuona jinsi watoto wanavotufurahisha kwenye nyumba zetu whther positively or negatively at the end of the day utacheka tu! Kila mtu anampenda mwanae wapendwa du!
 
Mkuu mshukuru mungu kwa kukupa watoto!mtoto akiwa mtundu ndio vizuri,asipoharibu atajifunzaje?kuna watu wanawatafuta hao watoto wa kuwavunjia hizo screen za tv hawawapati!kila siku wanakesha kwenye maombi!mshukuru mungu kwa kola jambo mkuu!
 
Mkuu mshukuru mungu kwa kukupa watoto!mtoto akiwa mtundu ndio vizuri,asipoharibu atajifunzaje?kuna watu wanawatafuta hao watoto wa kuwavunjia hizo screen za tv hawawapati!kila siku wanakesha kwenye maombi!mshukuru mungu kwa kola jambo mkuu!

Na raha naipata kweli, kama leo around saa kumi asubuhi, dogo 'kalowesha' kitanda then kaamka baada ya kumbadilisha nguo, kwani alitaka akalale tena pale alipopa 'lowesha' yaani hadi raha! nangojea akikua tu ntamtembeza mtaani na kale ka wimbo ketu ka zamani kale.................kikojooooozi na nguo tuic..................! Watoto wa kizazi cha ****** hii maneno hawawezi kutikia katu!
 
Loh. . .Juzi kama sio mashahidi ningeweza kakaba kamoja!!Yani wangekua wana kazi dawa yao ingekua kuwakata mshahara!!

Ukisema ukasirike wala haisaidi, utaishia kupandisha hasira ukose pakuishushia!! Jitahidi tu kuwa mnamwangalia angalia akiwa karibu na vitu anavyoweza kuharibu kirahisi.

red n bolded: Una bahati u have passed untouched, si unaona wanaharakati walivyokuja juu, utadhani nini vile!
 
Back
Top Bottom