Malecela: Magufuli hatarini

Ameen
 
Namuunga mkomno Mzee Malechela kwani Mh. Rais ana maadui japo wachache lakini wenye jeuri ya pesa!!! Aongezewe ulinzi.
Ni kweli JPM ana maadui wengi sana lakini ulinzi mkuu alionao ni ule utokao kwa Mungu, JEHOVA ambaye ataendelea kumlinda. Ulinzi mwingine ni COSMETIC TU. Tumuombee wote.
 
Uncle Magufuli tumbua tumbua, Sisi tunakuombea ulinzi kwa Mola
 
Nani amuongezee ulinzi ilihali yeye ndie serikali.si ajiongezee ulinzi.japo mi naamini watanzania tupo pamoja nae.
mkuu ni masikini matajiri wamebanwa pabaya na wanamchukia sana jpm,......
acha atumbue2 hamna namna
 
Mzee bana atakuwa anawaza tofauti tu mkewe kamwagwa bila hata kupokea mshahara mmoja
 
"Kabla hawajanizunguka nitakuwa nimewazunguka..." JPM
 
John Malecela Naye Ni Jipu Kubwa Sana. Alitaka Kuuza Nchi Kwa Wazungu. Bahati Nzuri Wakamdaka. BTW Magufuli Anayo Team Madhubuti Ya Usalama. Na Baadhi Ya Maofisa Wa Usalama Wamekuwa Recruited From Israel. Ngome Yao Ipo Mbweni. Hivyo Hawamwezi,
 
Kagame amemwongezea ulinzi wa kijasusi kwa hiyo wanaofikiria kumpindua wajitafakari.
 
Tunashindwa kujadili Maada iliyo mezani tunamjadili mtu, kweli tulio wengi ni vichwa maji.
Mzee malecela kaomba rais aongezewe ulinzi, vichwa maji wako busy na kebehi. Swala la ulinzi kwa rais inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la tatu.
 
Yahp naona baada ya kumaliza shughuli za uchaguzi ameamua kuifuatilia ingawa alikataa kutambua mzigo ulikuwemo ndani yake lkn meli alikili kuwa anaitambua
time will tell,........huyohuyo tena anakashifa ya kuiba madini yetu tena
hawa jamaa bhna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…