MD25 JF-Expert Member Joined Jan 28, 2012 Posts 3,074 Reaction score 1,030 Jul 13, 2012 #2 Gamba tu huyo, njaa inamsumbua...
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,134 Jul 13, 2012 #3 Duh......naomba aonane na mimi nimlipie kiwi ya mwaka mzima!
Arvin sloane JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 996 Reaction score 204 Jul 13, 2012 #4 .......Loading
Ndoa JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 1,033 Reaction score 254 Jul 13, 2012 #5 Political diplomacy
Amanda Senior Member Joined Mar 24, 2010 Posts 150 Reaction score 37 Jul 13, 2012 #6 Huyu jamaa mbona haeleweki???
samora10 JF-Expert Member Joined Jul 21, 2010 Posts 7,607 Reaction score 4,817 Jul 13, 2012 #7 following...
SMU JF-Expert Member Joined Feb 14, 2008 Posts 9,613 Reaction score 7,901 Jul 13, 2012 #8 Haka ka Joshua kanaonekana kachokozi sana, hebu chekini kalivyo weka alama mbele ya hilo lijamaa likubwa (nasikia linajiita "big show":bump2::bump2🙂
Haka ka Joshua kanaonekana kachokozi sana, hebu chekini kalivyo weka alama mbele ya hilo lijamaa likubwa (nasikia linajiita "big show":bump2::bump2🙂
N namimih Member Joined Jan 4, 2012 Posts 64 Reaction score 20 Jul 13, 2012 #9 Safari_ni_Safari said: Duh......naomba aonane na mimi nimlipie kiwi ya mwaka mzima! Click to expand... Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu.
Safari_ni_Safari said: Duh......naomba aonane na mimi nimlipie kiwi ya mwaka mzima! Click to expand... Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,134 Jul 13, 2012 #10 namimih said: Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu. Click to expand... Huo mwili wa ubishi tu......kwa mavumbi ya viatu lazima angeshakonda kwa kusaga lami
namimih said: Yeah ningependa pia ungemlipia gym na yule kaka pale nyuma na kile kitambi, unafahamu kuwa ni askari yule, napita tu. Click to expand... Huo mwili wa ubishi tu......kwa mavumbi ya viatu lazima angeshakonda kwa kusaga lami
nyabhingi JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 15,638 Reaction score 20,248 Jul 13, 2012 #11 tutamjadili kwenye vikao vya chama,hatutamwogopa baba yake