Malawi yakataa kudharauliwa na Jakob Zuma

Malawi yakataa kudharauliwa na Jakob Zuma

Kaka na wewe unaulinganisha uwanja wetu wa mwewe na viwanja vya watu kweli!!??, Niliwahi kutua na mgeni wangu hapo wakati ndio tu nakaribia kutua akaniuliza kama kuna Simba au Twiga alipoona minazi iliyojazana kule kiwalani wakati tukiwa angani.

Si kweli hata kidogo, usiukandie uwanja wetu tunaoutumia kila siku kwa kiasi hiki. Kuwa na nidhamu.
 
Kulikuwa na ulazima gani kufananisha na malawi....


1. kwa sababu malawi ndio nchi maskini kuliko zote ktk ukanda huu kusin mwa sahara
2. kwa sababu ni kweli miundombinu ndio mibovu kuliko nchi yoyote kusini mwa sahara
3. kwa sababu ni karibu yao so anatolea mfano wa reference ya kuweza kuimagine kiurahisi
 
Haha ha haaa .Duh nimecheka sana.Lakini Zuma nae alikua undiplomatic.Hakuchagua Maneno.Kulikua nahaja gani ya kusizitiza point yake kwa kufanya negative reference kwa nchi nyingine

Hana Tofauti na Ehud Barack alipofanya reference mbaya kwa Tanzania

Hata hivyo huyo Kibaraka Joyce aimarishe Miundombinu kuliko kutafuta sympathy ya wananchi wake

Mkuu kama madereva walimlalamikia wakisema wamepita barabara za malawi hawakutozwa uşhuru inakuwaje watozwe SA. Ulitegemea awajibuje?
 
Mie limbukeni kaka,lkn huo ndio ukweli uwanja wa ndege hatuna ukilinganisha na vya wenzetu. Kama hujatembea kwa wengine ukaona viwanja vyao utakuwa sahihi kuniita limbukeni, lkn kama umetembea kama nilivyotembea mimi kuona viwanja vya wengine utakuwa haupo sahihi kuniita limbukeni, maana utakuwa unajua ukweli ila unataka kuubadilisha tu kuwa uadui.mchana mwema mwerevu.

Ukweli kabisa, uwanja wetu ni aibu kulinganisha na viwanja vya watu. Eti wa kimataifa!!!
 
Ukweli kabisa, uwanja wetu ni aibu kulinganisha na viwanja vya watu. Eti wa kimataifa!!!

Ukisema ukweli kwa cc waafrica ni dharau.
Mfano ni mtu anapoingia Moshi akatupa takataka ovyo akikamatwa na kutajiwa eneo alilotoka mfano hapa sio Mbagala anakasirika?
 
Kaka umesema ukweli mtupu. Ukweli unauma ila lazima tuumeze hivyohivyo na machungu yake ili tuweze kusonga mbele. Kikweli uwanja wetu wa JNIA unazidiwa kwa uzuri na viwanja vingi. Chukulia kwa mfano hata pale Nairobi tu. Ule uwanja ni bomba ile mbaya. Ukitoka Jomo Kenyatta International Airport halafu ukaja Dar utaona tofauti kubwa mno achilia mbali mabanda ya buguruni na kiwalani yanavyotia kichefuchefu unapokuwa angani ukiyaona yaani aibu tupu! Tujirekebishe jamani
Mie limbukeni kaka,lkn huo ndio ukweli uwanja wa ndege hatuna ukilinganisha na vya wenzetu. Kama hujatembea kwa wengine ukaona viwanja vyao utakuwa sahihi kuniita limbukeni, lkn kama umetembea kama nilivyotembea mimi kuona viwanja vya wengine utakuwa haupo sahihi kuniita limbukeni, maana utakuwa unajua ukweli ila unataka kuubadilisha tu kuwa uadui.mchana mwema mwerevu.
 
Kuna wale Wa Jumuia yetu ya EAC ya kaskasni walisema wakipewa Bandari ya Dar Ni miezi 6 dar inakuwa kama Dubai. Hata sisi tulilalamika kudharauliwa kwani ule pia ni Ukweli?
Wanatushangaa kwa kuwa uchumi tunao lakini tunaukalia! Wewe kuwa na Bandari kama Dar, na nchi za Rwanda, Burundi, DRC, Zambia na Malawi mataifa ambayo hawana lango lingine ila Dar, halafu tuone kama huwi kama Dubai sasa hivi! Raisi wetu JK hajui kwanini Tanzania ni maskini! Kitu fulani hakipo sawa hapa!
 
Kaka umesema ukweli mtupu. Ukweli unauma ila lazima tuumeze hivyohivyo na machungu yake ili tuweze kusonga mbele. Kikweli uwanja wetu wa JNIA unazidiwa kwa uzuri na viwanja vingi. Chukulia kwa mfano hata pale Nairobi tu. Ule uwanja ni bomba ile mbaya. Ukitoka Jomo Kenyatta International Airport halafu ukaja Dar utaona tofauti kubwa mno achilia mbali mabanda ya buguruni na kiwalani yanavyotia kichefuchefu unapokuwa angani ukiyaona yaani aibu tupu! Tujirekebishe jamani

Uwanja wetu uligeuzwa lango kuu la kusafirishia Sembe.
Ule wa Kia una sifa ya kupitisha Twiga.
Tutafika tu.
 
Kuna ukweli kwa matamshi ya Zuma. Kwa mfano ukitoka Jburg kwa ndege kuja Tanzania, Uwanja wetu wa ndege wa Dar-JKN waweza kuulinganisha na kakijiji fulani ka Wafugaji wa kimasai! Tofauti kubwa sana.

Wewe nawe huna tofauti na alichokifanya ZUMA...kufanya reference mbaya kwa nchi nyingine! Naww unatumia mifano ya kipuuzi; Jburg airport na JKN Int'Airport na "kakijiji cha wafugaji wa kimaasai"

Uko kama punda; yaan watu wanajadili statement ya Zuma iliyozua tafrani nchini Malawi, na ww unakuja na the same same statement kwa kuwadharau wengine...foolish!
 
Wewe nawe huna tofauti na alichokifanya ZUMA...kufanya reference mbaya kwa nchi nyingine! Naww unatumia mifano ya kipuuzi; Jburg airport na JKN Int'Airport na "kakijiji cha wafugaji wa kimaasai"

Uko kama punda; yaan watu wanajadili statement ya Zuma iliyozua tafrani nchini Malawi, na ww unakuja na the same same statement kwa kuwadharau wengine...foolish!
Ujinga umekupotosha macho kiasi huoni na hupendi kuambiwa ukweli kama Wamalawi! Barabara mashimo matupu halafu badala ya kuchukua kauli ya Zuma kama changamoto wanataka ukweli usifahamike! Ukweli una tabia moja kuwa hata ukiuua na ukiuzika siku ya tatu utafufuka na kukukabili!
 
Ukisema ukweli kwa cc waafrica ni dharau.
Mfano ni mtu anapoingia Moshi akatupa takataka ovyo akikamatwa na kutajiwa eneo alilotoka mfano hapa sio Mbagala anakasirika?

Hivi hapo Moshi kuna usafi gani ambao kutwa mwatupigia kelele? Sijaona huo usafi wakusifiwa,usafi wa stand ndio imekuwa wimbo wao moshi
 
Hivi hapo Moshi kuna usafi gani ambao kutwa mwatupigia kelele? Sijaona huo usafi wakusifiwa,usafi wa stand ndio imekuwa wimbo wao moshi

Kwenye mikusanyiko ndo taka huzalishwa sana.
Jaribuni maeneo mengine kusafisha hayo masoko na stand
 
Mie limbukeni kaka,lkn huo ndio ukweli uwanja wa ndege hatuna ukilinganisha na vya wenzetu. Kama hujatembea kwa wengine ukaona viwanja vyao utakuwa sahihi kuniita limbukeni, lkn kama umetembea kama nilivyotembea mimi kuona viwanja vya wengine utakuwa haupo sahihi kuniita limbukeni, maana utakuwa unajua ukweli ila unataka kuubadilisha tu kuwa uadui.mchana mwema mwerevu.
Nimetembea sana, tena sana. Hao wenzetu ni akina nani? Acha kujidharau. Huo ndio ninaouita ulimbukeni. Mgeni gani huyo aliyekuuliza hayo maswali kama sio uongo?
 
Back
Top Bottom