Hii mada sidhani kama inahusu kama ushoga ni mila au sio mila ya kiafrika. Swala nilionavyo ni je, tukubali wazungu watupangie maamuzi yetu kutokana na hiyo "misaada" wanayotoa? Leo wanasema kama serikali za Africa hazitakubali kuruhusu ushoga basi watakata "misaada", je kesho watasemaje kama tutakubali kila wasemalo eti ilimradi tunataka "misaada"?
Ni fikra potofu kwa mwafrika kudhani eti kuvaa suti na tai ni ishara ya ustaarabu!
Niliposikia kauli ya Cameroon huko Perth nilishukuru mungu sana because that is exactly the kind of push that we need to sort out our mess. Solutions za matatizo yetu ziko hapa hapa na sio kwa wazungu. But day in day out watu wanatembeza bakuli.
And if I had my way ningewaambia hawa wazungu wawape leaders wetu miezi mitatu 3, 'redifine your morals and accept homosexuality mara moja otherwise, katafute cheque kwingine'. Hii ndio dawa inatakiwa. Push them to the edge tuone kama watasafirisha wanyama hai au wataacha kukusanya kodi.