Malawi Churches react on Lake Malawi (Lake Nyasa) issue

Malawi Churches react on Lake Malawi (Lake Nyasa) issue

Here in tz We have been taught that a part of lake nyasa belongs to tz since we were in primary school so what they want to tell us with their whinings?
song9-9.jpg
 
Vipi viongozi wetu wa dini?
 
Wamalawi sijui wameumbwaje, they cant even see a simple logic. Hebu tujikumbushe, ni nchi gani duniani ambapo kuna mpaka aina ya huu unaodaiwa na wamalawi ambapo nchi fulani hairuhusiwi kugusa maji yapakanayo na nchi hiyo?

Mkuu hawa jamaa wanataka kujiletea matatizo ya bure - hawatumii logic au teseme common sense, ukiangalia mpaka wa ziwa hilo kati ya Malawi na Msumbiji huko katikati, nasikia zamani ulikuwa unapita kandokando ya ziwa lakini Wareno wakaja kuelewana na Waingereza ukawekwa katikati.

Kwa upande wa Tanzania wakati wa utawala ya Ujerumani kuna ramani inaonyesha mpaka huko katikati hata wakati fulani Waigereza walionyesha mpaka ukiwa katikati na ziwa lenyewe lilikuwa linajulikana kama Nyasa.

Waigereza na uzabazabina wao walijua Tanganyika sio koloni lao, walipewa kuingoza Tanganyika kwa muda lakini Malawi lilikuwa koloni lao, basi ndio wakafanya mbinu za kubadirisha mpaka in favour of Malawi, haya mambo ya mkataba sijuhi wa Hellig..? naonaga ni kichekesho mbona wajerumani wenyewe ramani zao zilionyesha mpaka huko katikati ya ziwa, kama wangekuwa wanaheshimu mkataba huo kwa nini ziwa lilikuwa linagawanywa kati kati??

Mbona kuna sheria zinazo tumika katika mipaka ya bahari, kila nchi iliyo pakana na bahari wanaruhusiwa kumiliki kilometer fulani kutoka ufukweni mpaka kwenye International waters, itakuwa ziwa bwana!
 
Mkuu hawa jamaa wanataka kujiletea matatizo ya bure - hawatumii logic au teseme common sense, ukiangalia mpaka wa ziwa hilo kati ya Malawi na Msumbiji huko katikati, nasikia zamani ulikuwa unapita kandokando ya ziwa lakini Wareno wakaja kuelewana na Waingereza ukawekwa katikati.

Kwa upande wa Tanzania wakati wa utawala ya Ujerumani kuna ramani inaonyesha mpaka huko katikati hata wakati fulani Waigereza walionyesha mpaka ukiwa katikati na ziwa lenyewe lilikuwa linajulikana kama Nyasa.

Waigereza na uzabazabina wao walijua Tanganyika sio koloni lao, walipewa kuingoza Tanganyika kwa muda lakini Malawi lilikuwa koloni lao, basi ndio wakafanya mbinu za kubadirisha mpaka in favour of Malawi, haya mambo ya mkataba sijuhi wa Hellig..? naonaga ni kichekesho mbona wajerumani wenyewe ramani zao zilionyesha mpaka huko katikati ya ziwa, kama wangekuwa wanaheshimu mkataba huo kwa nini ziwa lilikuwa linagawanywa kati kati??

Mbona kuna sheria zinazo tumika katika mipaka ya bahari, kila nchi iliyo pakana na bahari wanaruhusiwa kumiliki kilometer fulani kutoka ufukweni mpaka kwenye International waters, itakuwa ziwa bwana!
Kwa uelewa wetu mdogo ni kwamba wametumwa na wanataka kuleta chokochoko..! Wanadanganywa na USA ile gas ikiichaisha tu USA hao, wanakwea pipa kwenda kwao. Wanadhani itakuwa ni vita ya mwaka mmoja na kwamba wakishinda (just in case) ndo utakuwa mwisho wa vita.
 
Kwa uelewa wetu mdogo ni kwamba wametumwa na wanataka kuleta chokochoko..! Wanadanganywa na USA ile gas ikiichaisha tu USA hao, wanakwea pipa kwenda kwao. Wanadhani itakuwa ni vita ya mwaka mmoja na kwamba wakishinda (just in case) ndo utakuwa mwisho wa vita.
Spot on mkuu, ni rahisi sana kwa nchi yoyote duniani kuanzisha vita lakini si rahsi kutabiri vitakwisha siku gani, and in whose favour!
 
i think the lake border mozambique too,do they claim part of it to mozambique?
 
Eti kwa vile ziwa linaitwa Lake Malawi au Nyasa kila Malawian anadhani ni la Malawi peke yao. Vita si kitu cha kushabikia hasa ukizingatia nchi zenyewe hizi 2 ni maskini wa kutupwa lakini kwa hili la ziwa/resource watu wa Malawi wajue kwamba Tanzania haitakubali kirahisi kuliachia ziwa!!
 
For both sides we are in a very critical situation, but I get difficult when I ask some question to myself such as;

For long time we have been in good relationship with Malawi, but why now after this madam becomes into power?
why now, the time we hear that lake Nyasa is said to have enough oil and gas?

why now?, while Malawians depend much on our Kasumulu border for their exports and imports, I guess here even the weapons are imported through this boarder.
why now, the time which Joyce Banda wants to prepare good environment for her to win the coming general election?
 
This issue is driven by selfishness ; it is sad that church leader don't see the importance of sharing the lake for betterment of both sides; they should take Mozambique part as well then if whole lake belong to Malawi. What is so special with Mozambicans than Tanzanians? Is it because of white people paper called Helgoland treaty ; the treaty which is against humanity???
 
You Malawians, it is more of the advantage for the lake to belong to Tanzania and Malawi than if it could only belong to Malawi, Try to imagine how can you control water waves along the shore? remember why Banda the former Mzee went silent in the late 1970s Mwalimu Nyerere told him that " any wave hinting Tanzania soil/land will have to be paid, how much will you be able to pay? Remember even the rivers feeding the lake comes from Tanzania. It is sad that church people are becoming greed, I could no to expect church people to come up with such statement. The lake will continue to belong to us all and that is what used to be even prior to coming of the whites who made the boarders.
Baada ya hapo, Nyerere akateremsha brigade ya JW na Kamuzu akaufyata mazima
 
Back
Top Bottom