Zacharia Kifyasi
Senior Member
- Dec 23, 2012
- 135
- 24
Nimesikitishwa sana na taarifa kuwa shule ya sekondari inayomilikiwa na kanisa la KKKT ya Junior Seminanry ya mjini Morogoro imefungwa kwa mda usiojulikana! Hatua hiyo imekuja baada ya wanafunzi kugoma kwa madai ya kutoridhishwa na uongozi wa shule hiyo.
Ni wakati sasa wa Askofu Malasusa kuingilia kati suala hili kwani linatia doa Kanisa na taasisi zake!
Ni wakati sasa wa Askofu Malasusa kuingilia kati suala hili kwani linatia doa Kanisa na taasisi zake!