Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,755
- 218,366
Kusapoti CHADEMA ni sawa na kusapoti haki , Katiba mpya na Tume Huru ya UchaguziKazi ya Mungu ndo kusapoti siasa za CHADEMA? Acheni upuuzi wa kumhusisha Mungu na siasa zenu za majitaka. Mpinzani wenu ni CCM sio KKKT