tangu oktoba 23, huyu mkuu hapatikani hapa.
ni shabiki mwenzangu wa chama tawala,
tena ni mdini sana kama mimi,
kokote atakapokuwapo,]
aendelee kumshabikia jk
lakini ampigie kura dk slaa.
aaaaaaamin!!!
tangu oktoba 23, huyu mkuu hapatikani hapa.
ni shabiki mwenzangu wa chama tawala,
tena ni mdini sana kama mimi,
kokote atakapokuwapo,]
aendelee kumshabikia jk
lakini ampigie kura dk slaa.
aaaaaaamin!!!
Maralia sugu ni mmoja wa mameneja wa kampeni wa kikwete Mkwere, na nimshauri makini wa kikwete nyuma ya Kingunge na makamba. yupo kwenye kampeni sasa hivi
Wind Up Merchant (WUM) namba moja hapa jamvini. Mabandiko yake yananichekeshaga maana unayaona toka mwanzo kuwa ni ya uchochezi tena basi ule wa kitoto lakini bado kuna wanajamvi wengi tu wanaohangaika na kuvunja mshipa kumjibu. Yule atakuwa alikuwa ni mtoto wa chuo katika hizi likizo zao ndefu akaona ni bora achemshe watu.
tangu oktoba 23, huyu mkuu hapatikani hapa.
ni shabiki mwenzangu wa chama tawala,
tena ni mdini sana kama mimi,
kokote atakapokuwapo,]
aendelee kumshabikia jk
lakini ampigie kura dk slaa.
aaaaaaamin!!!