Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Anadeka sana, na kwa kuwa hapa jamvini hamna wa kumdekeza basi anajihisi anaonewa.
Mara leo lnvisible kamuonea, mara kesho Rev. Masa kamuonea, mara Buji manyotanyota naye kamuonea.
Jamani MS, tunakupenda sana, na huwa tunasikitika unapogongwa na nyundo ya mods. Badilika kidogo tu nawe utaiona JF ni kama peponi.
Mara leo lnvisible kamuonea, mara kesho Rev. Masa kamuonea, mara Buji manyotanyota naye kamuonea.
Jamani MS, tunakupenda sana, na huwa tunasikitika unapogongwa na nyundo ya mods. Badilika kidogo tu nawe utaiona JF ni kama peponi.