Malaria Sugu yuko verrrrrrrrrrrrrry special.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,457
154,323
Anadeka sana, na kwa kuwa hapa jamvini hamna wa kumdekeza basi anajihisi anaonewa.
Mara leo lnvisible kamuonea, mara kesho Rev. Masa kamuonea, mara Buji manyotanyota naye kamuonea.
Jamani MS, tunakupenda sana, na huwa tunasikitika unapogongwa na nyundo ya mods. Badilika kidogo tu nawe utaiona JF ni kama peponi.
 
Ms inaelekea ni maalufu kama ulivyoweka kichwa cha habari!Ninani asiye mtaja MS mimi ninadhani huko aliko mara kwa mara anajing'ata kwani anatajwa kuliko enzi ya G.W.Bush!
 
Mimi unajua mpaka leo sijajua kwa nini watu mnamuandama sana Malaria Sugu. I think he is a cool dude.

Can anyone of you volunteer to explain it to me exactly what it is about him that you don't like?
 
MS njoo unidekee kwangu...sijawahi kuwa na tatizo na wewe kabisa....mruhusuni MS aje kwa mamaaa JS hapa kudeka mpaka atachoka mwenyewe
 
MS njoo unidekee kwangu...sijawahi kuwa na tatizo na wewe kabisa....mruhusuni MS aje kwa mamaaa JS hapa kudeka mpaka atachoka mwenyewe

Hi JS, wewe pia huna tatizo na Malaria Sugu?
 
Malaria sugu wa ukweli sana. Kati ya wanaume wote humu jf yeye ndio ananikosha.
 
Anadeka sana, na kwa kuwa hapa jamvini hamna wa kumdekeza basi anajihisi anaonewa.
Mara leo lnvisible kamuonea, mara kesho Rev. Masa kamuonea, mara Buji manyotanyota naye kamuonea.
Jamani MS, tunakupenda sana, na huwa tunasikitika unapogongwa na nyundo ya mods. Badilika kidogo tu nawe utaiona JF ni kama peponi.

Kwani we Bujibuji huwa unamuonaea? Vipi bado uko usukumani? Pole once again
 
Malaria sugu, mbona mimi naona mtu poa tu, anaesimamia kile ambacho anakiamini ndio ubinadamu
 
Anadeka sana, na kwa kuwa hapa jamvini hamna wa kumdekeza basi anajihisi anaonewa.
Mara leo lnvisible kamuonea, mara kesho Rev. Masa kamuonea, mara Buji manyotanyota naye kamuonea.
Jamani MS, tunakupenda sana, na huwa tunasikitika unapogongwa na nyundo ya mods. Badilika kidogo tu nawe utaiona JF ni kama peponi.
Wang'wise.. pole sana kwa mitihani uliokupata
 
Anadeka sana, na kwa kuwa hapa jamvini hamna wa kumdekeza basi anajihisi anaonewa.
Mara leo lnvisible kamuonea, mara kesho Rev. Masa kamuonea, mara Buji manyotanyota naye kamuonea.
Jamani MS, tunakupenda sana, na huwa tunasikitika unapogongwa na nyundo ya mods. Badilika kidogo tu nawe utaiona JF ni kama peponi.

Kitendo cha malaria sugu kuwashitaki mods kwenye magazeti, je tukitafsiri vipi? Unoko au kusaka umaarufu?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom