Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,077
- Thread starter
- #21
Kitendo cha malaria sugu kuwashitaki mods kwenye magazeti, je tukitafsiri vipi? Unoko au kusaka umaarufu?
acha kumsakama ms, we, huoni kwamba hiyo janja ilimnusuru na life ban?