AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,040
Inasemekana kuwa MS anataka kujivua Gamba ila hajui aanzie wapi. Hii imetokana jana baada ya MS kujibiwa Hoja zake na Rais wetu Dr.Slaa na MS kuzikubali na kulainika kiasi cha kutaka kuichoma moto kadi ya magamba mda huo huo. Source kutoka kwa mtu wa karibu inasemekana kuwa MS anafikiria kuiridisha kadi ili achukuwe ya chadema. Inasemekana pia siku atakayojivua Gamba pia atatoa taarifa hapa JF
MS anaanza kupona Malaria sasa na kuuona mwanga
MS anaanza kupona Malaria sasa na kuuona mwanga