Godlisten Masawe
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 738
- 283
Mimi ni mteja wenu toka mwaka 2011, ofisi yangu inategemea internet yenu. Tokea mwanzoni mwa mwaka huu 2013 uanze internet yeni imekuwa siyo reliable, kuna kipindi nakosa internet siku nzima au pengine hadi siku mbili, ukiuliza sababu mnadai kuna itirafu ktk mitambo, kibaya zaidi leo naitaji internet napiga namba ya customer care toka asubuhi mpaka sasa haipokelewi, kupiga namba ya customer care na kutokupokelewa siyo leo tu, ni tabia inayojirudia rudia.