Kiranja Mkuu JF-Expert Member Joined Feb 18, 2010 Posts 4,458 Reaction score 5,169 Jul 11, 2011 #1 Jamani niko Mwanza, na nimepata nafasi ya kufika hapa Malaika Beach Hotel, ni hotel nzuri sana, haijakamilika na wahudumu wamezubaa. Je ikikamilika na huduma zikiboreshwa inaweza kuwa na nyota ngapi?
Jamani niko Mwanza, na nimepata nafasi ya kufika hapa Malaika Beach Hotel, ni hotel nzuri sana, haijakamilika na wahudumu wamezubaa. Je ikikamilika na huduma zikiboreshwa inaweza kuwa na nyota ngapi?
Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,283 Reaction score 4,556 Jul 11, 2011 #2 Wasiliana na Hotels Association of Tanzania (HAT) hawa nadhani ndo hutoa accreditations **, ***, ****, *****
Wasiliana na Hotels Association of Tanzania (HAT) hawa nadhani ndo hutoa accreditations **, ***, ****, *****
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Joined Feb 18, 2010 Posts 4,458 Reaction score 5,169 Jul 11, 2011 Thread starter #3 Afadhali umewekwa huru mwanawane, tulimiss sana mawazo yako.
Change_it JF-Expert Member Joined Sep 17, 2010 Posts 279 Reaction score 85 Jul 13, 2011 #4 ebana pametulia ikikamilika itakuwa sehumu nzuri sana ya ku hangout
Aza JF-Expert Member Joined Feb 23, 2010 Posts 1,700 Reaction score 235 Jul 13, 2011 #5 acha tu kwakweli apo mahali pakikamilika itakuwa our little paradiso
Aza JF-Expert Member Joined Feb 23, 2010 Posts 1,700 Reaction score 235 Jul 13, 2011 #6 hao wanazengo-wahudumu kuzubaa ni necha ya watu wa mwanza ha ha ha mie nilichoka kbs walivo ila nshawazoea mara nyingi naenda mwanza
hao wanazengo-wahudumu kuzubaa ni necha ya watu wa mwanza ha ha ha mie nilichoka kbs walivo ila nshawazoea mara nyingi naenda mwanza