Hapa Tanzania, huyo mtalaka/mzazi mwenzake wangekula njama na mtoto wamtangulize kwenye udongo watumbue mali.Safi, mtoto akiomba Samaki usimpe badala yake nenda naye ziwani kamfundishe namna ya Kuvua.
Ataona ni mateso awali, lakini atazoea na kukushukuru pale atakapoanza Kuvua na kupata Samaki wengi kuliko ungempatia Samaki mmoja ama wawili wa mboga
ndio wanapofel ukimtanguliza makala mali zikaisha mnaanza kuwa omba omba tenaHapa Tanzania, huyo mtalaka/mzazi mwenzake wangekula njama na mtoto wamtangulize kwenye udongo watumbue mali.
Ni kweli usemachoHapa Tanzania, huyo mtalaka/mzazi mwenzake wangekula njama na mtoto wamtangulize kwenye udongo watumbue mali.
Correct 💯Ni kweli usemacho
Kuna article moja nimesoma online, inasema Kuna namna unaweza kulinda mali zako ukiziweka kwenye mfumo wa Kampuni.
Yaani hata nyumba za kuishi ama za Wapangaji una-register kwenye mfumo wa umiliki wa Kampuni ikiwemo hadi akaunti za Benki.
Kwa kufanya hivyo, hela hazitoki ama huwezi kuuza Mali za Kampuni pasipo kuridhiwa na Bodi
Kuwepo Kwa usumbufu wa hivyo, kutafanya Mali kubaki sehemu salama hata ikitokea umeuawa Kwa hila za namna hiyo
Mjinga hajali maisha ya kesho. Anajali maisha ya leo, kudhani kesho itajihangaikia yenyewe.ndio wanapofel ukimtanguliza makala mali zikaisha mnaanza kuwa omba omba tena
Tulio na watoto wa kiume zama hizi ni shida, pasua kichwa!Kutokana na kwamba mwanangu Marquise hataka kuchukua biashara niliyompa yenye thamani ya almost $5 milioni, nimeamua kuacha kumpa $6700 ya matunzo ya kila mwezi. Nafikiri ni wakati mitaa kumfundisha maisha.”
Hivi sasa sina tena uhusiano mazuri na mwanangu Marquise.
Ni hali ya kusikitisha, lakini nafikiri vema kwa sasa kwa sababu anahisi anastahili kupita kiasi.
Marquise ana miaka 27, lakini bado namlipia matunzo ya $6700 kila mwezi, hata baada ya kukataa biashara ya $5 milioni niliyotaka kumfungulia.
Hakuna aliye wahi kunipa nafasi kama hiyo.”
Kwa kuwa haoni kuwa ana bahati, naona ni bora nimuonyeshe hali ngumu.
Atakapolazimika kuanza kutoka sifuri kama mimi, ataelewa nilichokuwa nikifanya kwa ajili yake.
Anataka kuzunguka New York na magari ya kifahari akiwa na wanawake, bila kufanya kazi, akitegemea jina langu.
Siwezi kumruhusu hilo kwa sababu ana muda wa kutosha kufanya kazi na nipo tayari kumpa resources zotezote atakazozihitaji.”
Ikiwa anataka kitu chochote, ajitafutie mwenyewe.
Mama yake huwa anamwambia, 'Wewe ni mtoto wa 50 Cent, unastahili zaidi,' na hata nikimpa anachotaka, bado ataomba kingine.
Nimejaribu kumwambia kwamba mama yake anamshauri vibaya.
Mama yake humtumia mtoto kama njia ya kulipiza kisasi kwangu, kila proposal ninayompa mtoto wangu huikataa kwa kuwa mama yake anataka niwe natoa hela kwao.
Yeye anaona mimi ni adui yake.”
Sasa ana umri wa kutosha na kama hawezi kuanza kutoka sifuri, naogopa ataishia kuwa mtu aliyeshindwa maishani.
Afadhali nitoe pesa yangu kwa misaada kuliko kumpa mtoto mwenye bahati ambaye ana dhana ya kustahili kama Marquise.
Kuna wakati ninajisikia aibu kumuita mwanangu kwa sababu nimejaribu kila mbinu ili kum-shape ila nimefel kama baba na kama mfanyabiashara.
Nina ventures nyingi sana ambazo ningeweza kumuingiza na tukafanya KAZI lakini hayuko tayari.”View attachment 3143823
Nadhani ndiyo njia sahihi ya kutunza ukwasi wa mtuCorrect 💯
HAYO NDIYO YALE MATOTO MASENGE YANAYO SEMA BORA UNITUKANIE BABA YANGU KULIKO MAMA YANGU ...ukisikia mtu yoyote anasema hivi jua tu huyo mtu ni hasara kwa taifa na familia ni sawa na mtu aseme bora umtukanie.. Mungu wake kuliko kumtukania shetani....ndiyo wale watoto na wazazi wapumbavu wanao kubaliana kuwa mzazi ni mungu wa pili kwa mtoto....mzazi mwenye akili awezi kukubali hii kauli itoke kinywani mwa mtoto wake kuwa yeye ni Mungu wa pili bali angemkemea ...na kama wangekuwa ni mitume hao wazazi kisha hao mitume kuitwa na watoto wao kuwa wao mitume ni miungu basi wangelalua nguo zao kwa kulikataa hilo JinaKutokana na kwamba mwanangu Marquise hataka kuchukua biashara niliyompa yenye thamani ya almost $5 milioni, nimeamua kuacha kumpa $6700 ya matunzo ya kila mwezi. Nafikiri ni wakati mitaa kumfundisha maisha.”
Hivi sasa sina tena uhusiano mazuri na mwanangu Marquise.
Ni hali ya kusikitisha, lakini nafikiri vema kwa sasa kwa sababu anahisi anastahili kupita kiasi.
Marquise ana miaka 27, lakini bado namlipia matunzo ya $6700 kila mwezi, hata baada ya kukataa biashara ya $5 milioni niliyotaka kumfungulia.
Hakuna aliye wahi kunipa nafasi kama hiyo.”
Kwa kuwa haoni kuwa ana bahati, naona ni bora nimuonyeshe hali ngumu.
Atakapolazimika kuanza kutoka sifuri kama mimi, ataelewa nilichokuwa nikifanya kwa ajili yake.
Anataka kuzunguka New York na magari ya kifahari akiwa na wanawake, bila kufanya kazi, akitegemea jina langu.
Siwezi kumruhusu hilo kwa sababu ana muda wa kutosha kufanya kazi na nipo tayari kumpa resources zotezote atakazozihitaji.”
Ikiwa anataka kitu chochote, ajitafutie mwenyewe.
Mama yake huwa anamwambia, 'Wewe ni mtoto wa 50 Cent, unastahili zaidi,' na hata nikimpa anachotaka, bado ataomba kingine.
Nimejaribu kumwambia kwamba mama yake anamshauri vibaya.
Mama yake humtumia mtoto kama njia ya kulipiza kisasi kwangu, kila proposal ninayompa mtoto wangu huikataa kwa kuwa mama yake anataka niwe natoa hela kwao.
Yeye anaona mimi ni adui yake.”
Sasa ana umri wa kutosha na kama hawezi kuanza kutoka sifuri, naogopa ataishia kuwa mtu aliyeshindwa maishani.
Afadhali nitoe pesa yangu kwa misaada kuliko kumpa mtoto mwenye bahati ambaye ana dhana ya kustahili kama Marquise.
Kuna wakati ninajisikia aibu kumuita mwanangu kwa sababu nimejaribu kila mbinu ili kum-shape ila nimefel kama baba na kama mfanyabiashara.
Nina ventures nyingi sana ambazo ningeweza kumuingiza na tukafanya KAZI lakini hayuko tayari.”View attachment 3143823
Kaka mkubwa unaendeleaje na matibabu mkuuKuna wakati hua namshkuru Mungu sana kila ninapo tazama wazazi wanavyo umizwa na tabia za watoto wao walio pata malezi ambayo wazazi wale hawaku tamani walelewe vile.
Kuna time sheria za hapa kwetu zinatulinda sana bado sisi wanaume.
Kwasasa naendelea uzuri sana, napambana na msosi na mazoezi tuKaka mkubwa unaendeleaje na matibabu mkuu
Wazazi ndiyo wanao sababisha hayo matokeo mabovu kwa watoto wao ...wewe jiulize mzazi anawaaminisha watoto wake kuwa yeye ni mungu wa pili ! Unajua nini maana yake maana yake huyo mzazi kajitakasa ataki kukosolewa wala kushauriwa wala kuelimisha chochote na mtoto wake hata kama anakosea ...ni mekanizim ya wazazi wapumbavu ...mzazi mwenye akili na mwema uwaambia watoto wake wasaidie kumkosoa na kumuelimisha pale wanapo ona anakosea na kujadiliana kufikia maisha memaKuna wakati hua namshkuru Mungu sana kila ninapo tazama wazazi wanavyo umizwa na tabia za watoto wao walio pata malezi ambayo wazazi wale hawaku tamani walelewe vile.
Kuna time sheria za hapa kwetu zinatulinda sana bado sisi wanaume.
Rudia kusoma ulicho kiandika then utagundua umejaa chuki na jazba kutokana na aina ya malezi uliyo yapata.Wazazi ndiyo wanao sababisha hayo matokeo mabovu kwa watoto wao ...wewe jiulize mzazi anawaaminisha watoto wake kuwa yeye ni mungu wa pili ! Unajua nini maana yake maana yake huyo mzazi kajitakasa ataki kukosolewa wala kushauriwa wala kuelimisha chochote na mtoto wake hata kama anakosea ...ni mekanizim ya wazazi wapumbavu ...mzazi mwenye akili na mwema uwaambia watoto wake wasaidie kumkosoa na kumuelimisha pale wanapo ona anakosea na kujadiliana kufikia maisha mema
Mungu akupe nafuu upone haraka sheikh.Kwasasa naendelea uzuri sana, napambana na msosi na mazoezi tu
Tumia akili soma tena ..kama unayo akili utaelewa...au na wewe ndiyo mpumbavu unao waambia watoto wako wewe ni kaji mungu furani wakuabuduRudia kusoma ulicho kiandika then utagundua umejaa chuki na jazba kutokana na aina ya malezi uliyo yapata.
Minaona kama nawewe ni muathirika wa malezi mabovu pia, hata imekufanya kua mwenye hasira na chuku zaidi kuliko kujikita kwenye hoja.
Nimeshangaa kweli yaanSafi kabisa toto la kiume linalokuwa jinga unafanyaje, miaka 27 bado hajielewi