The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,615
Mzuqa
Wimbi la makundi ya WaSomali ulaya wanaobadilisha dini kutoka Uislam na kumfuata Yesu imewashtua viongozi wa dini na kutoa vitisho vya Kuuawa kwa kuchinjwa popote (Fatwa).
Pia viongozi hao wa dini wamewahasa wazazi Waislam ulaya wawafundishe na kutowaruhusu kabisa watoto kubadilika.
Ilibidi waite kikao cha dharura Utadhan Somalia imekumbwa na janga la kutisha kama Tsunami amatetemeko.
Video hapo chini.
Wimbi la makundi ya WaSomali ulaya wanaobadilisha dini kutoka Uislam na kumfuata Yesu imewashtua viongozi wa dini na kutoa vitisho vya Kuuawa kwa kuchinjwa popote (Fatwa).
Pia viongozi hao wa dini wamewahasa wazazi Waislam ulaya wawafundishe na kutowaruhusu kabisa watoto kubadilika.
Ilibidi waite kikao cha dharura Utadhan Somalia imekumbwa na janga la kutisha kama Tsunami amatetemeko.
Video hapo chini.