Makundi ya kumsafisa RC Dar!

Kolomije hasafishiki
 


Hili la team madawa kulevya ndilo tumekuwa tukipambana nalo hapa Peoria Illinois, mitanzania fulani ambayo ilikuwa inaamini kuwa haya yote yanatokea kwa sababu tu aliwagusa wauza unga, lakini baada ya Makonda kuvamia kituo cha clouds wameufyata mkia na kusema huyo jamaa hajielewi labda karogwa
 


Labda kwenye familia yako
 
Bashite' ambaye ni mtuhumiwa wa udanganyifu katika elimu, akiondolewa na kufikishwa kortini atabadili maisha yako kisaikolojia kwa kuwa itathibitisha kuwa serikali tuliyoiweka madarakani haifanyi kazi kwa "double standard"; kwamba kama kuna watu serikali hiyo hiyo imewafikisha mahakamani kwa tuhuma kama za Bashite', basi Bashite' naye afikishwe kortini.

Tutaendelea kushika mkia iwapo tutanyamazia suala hili!
 
Atoe vyeti kwani anaomba kazi??????

Nyie msio na vyeti toeni vyetiiiiiii

Halafu juzi si Gwajima ameonesha cheti cha kidato cha nne ana zero? Mnadai vyeti gani vingine?
 
B.A.S.H.I.T.E limeshakuwa jina haramu JF? naona ukiliandika zinatokea nyota tu ***********.
Nimejaribu kuliandika ni kweli kabisa zinatokea nyota tu
ngoja nijaribu kuandika kwa njia hii
B a s h i t e call me j
 
Wewe unatukana, lakini sisi tutasema ukweli daima! Hatutakubali kuingozwa na mtu asiyekua na vyeti ilihali hata dereva wa bajaji ya serikali anatakiwa kua na cheti form four na D mbili za kiswahili na English. Upo?
 
Mwambieni sisi tunataka vyeti tu hata akipakatwa vipi sisi ni vyeti tu
Vyeti gani baba....si vimeoneshwa juzi na Gwajima? Au mmesahau? Tena alisema bado anavyo vingine
 
Atoe vyeti kwani anaomba kazi??????

Nyie msio na vyeti toeni vyetiiiiiii

Halafu juzi si Gwajima ameonesha cheti cha kidato cha nne ana zero? Mnadai vyeti gani vingine?
Ni mdanganyifu, anastahili kuwa kortini. Gwajima ameonyesha "results slip", mlivyo mbugila wafuasi wa Bashitee hata hamujui kutofautisha results slip na vyeti!
 
Nchi inatawalia na utawala wa sheria,wengine pasua vichwa kusoma hujui hata picha vilevile huangaliiiiiiii
 
Ni mdanganyifu, anastahili kuwa kortini. Gwajima ameonyesha "results slip", mlivyo mbugila wafuasi wa Bashitee hata hamujui kutofautisha results slip na vyeti!
Yeye Gwajima alisema ametoa cheti....mimi natumia maneno ya Gwajima sio kwanba sijui cheti kinafananaje au results slip. So, nenda Kanisa la ufufuo na uzima ukaone vyeti vya Makondaaa
 
Hivi serikali ilivyowafukuza watu kazi kisa eti vyeti feki ilikuwa na lengo gani? Tuanzie kwanza hapo maana nyie nzi wa kijani mnaviroja.
 
Yeye Gwajima alisema ametoa cheti....mimi natumia maneno ya Gwajima sio kwanba sijui cheti kinafananaje au results slip. So, nenda Kanisa la ufufuo na uzima ukaone vyeti vya Makondaaa
Mbona huwa hutumii maneno ya Baba Jesca kama sula ni kutumia maneno?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…