Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
There are currently 28 users browsing this thread. (11 members and 17 guests)
Naelewa saana mkuu, kwa nini unasema hivi,hakuna shaka unasababu nyingine ILIYOJIFICHA.........yaani nimekuelewa sana....UBARIKIWE.Hahahahaha! Tall chunga sana, uko kwenye probation period!!!!!!
hii si kweli itawezekanaje namba ya mkeo au sauti yake wakati anakuelekeza usishtuke au huyo mke kwa nn hakujua namba ya simu ya mumewe au sauti yake
TOPIC CLOSED KWA UDANGANYIFU
hii si kweli itawezekanaje namba ya mkeo au sauti yake wakati anakuelekeza usishtuke au huyo mke kwa nn hakujua namba ya simu ya mumewe au sauti yake
TOPIC CLOSED KWA UDANGANYIFU
Inaweza tokea usimpende mtu, labda kwa kutokana na thread au post zake,huenda kasema ukweli au mawazo fulani ambayo huyatakiIle list wako wapiganaji 25 hao akina MS wala huwa sioni mitundiko yao! Tall akiweka nyingine kama hii nitaedit na kuwa nao 26
huna mbavu kwa vile unaelewa kinachoendelea hongera kuwa mwerevuteh teh sina mbavu!
1.sauti inawezekana aliibana au shoga yake alimsaidia.2.ngou za bluu kila mtu anavaa ukisikia ya bluu tu basi ni mkeo????
LAWYER niko hapa na nimeshindwa kuikubalisha kwa namna yoyote ilehehehehe hii sredi inahitaji LAWYER mzoefu aweze kuitetea mpaka ikubalike.
YAANI KUNA WENGINE HADI ILE YA WHO, WHEN,WHERE,WHY,......ITIMIE ili akaandike story gazetini jamani si mpaka mleta story akubali kutoa full details,Bora wewe umesema bwana, maana niliogopa kusema hivyo kwa kuchelea kushambuliwa na wadau. Maana hayo maelezo hapo juu hayaingiii akilini.. Halafu kwenye facebook watu wanatumia majina yao halisi, labda kama ilikuwa website nyingine!
unazidi kuvurunda bora ukae kimya yaishe....
mheshimiwa jaji (lawyer)kama huikubali nabadilisha lawyer sina imani na wewe,kwanza utasikilizaje shauri wakati GLASS YA POMBE IPO PEMBENI NAIONA? NABADLISHA LAWYER,AU NAKATA RUFAA.LAWYER niko hapa na nimeshindwa kuikubalisha kwa namna yoyote ile
Inaweza tokea usimpende mtu, labda kwa kutokana na thread au post zake,huenda kasema ukweli au mawazo fulani ambayo huyataki
mfano anaweza kutoa mawazo kuwa jamani eeeeh wanaume TUTAHIRINI AMBAO BADO. Kwa mtaji huu wale wote wasiotahiriwa wanaweza kuanza kumchukia mtoa thread au post. Lakini hayo ni mawazo yake tu INABIDI TUVUMILIANE NA KUSAMEHEANA HAPA JF vinginevyo zitatafutwa orodha nyingi na kuzitafutia sababu.ikiwezekana ...........
mmmmmh yamefikia hapo????Laaziz..........!!! Isije kuwa una simu mbili mpenzi wangu, halafu una gauni la bluu ambalo mimi silifahamu!!!
LAWYER niko hapa na nimeshindwa kuikubalisha kwa namna yoyote ile
ukweli utabaki palepale nyamayao nieleze nilipovurunda maana maneno hayo nimeyarudia mara kadhaa.unazidi kuvurunda bora ukae kimya yaishe....
LAWYER niko hapa na nimeshindwa kuikubalisha kwa namna yoyote ile
ha ha ha ha ha ha!hehehe wewe umesomea sheria zinazohusiana na vinywaji bana hapa tunaongelea sheria za JF a.k.a mkono mtupu haulambwi. nimejaribu kumbipu lawyer wa marehemu maiko jakson aje kumpapatua TALL, lakini baada ya kumpa maelezo kasema bora ajiuzulu kuliko kuitetea hii sredi.
hii sredi ina utata kama mpira wa JABULANI.
Fidel yuko sauzi na vuvuzela lake anaishabikia Naijeria. Bht kafanyiwa operesheni ya kujifungua mapacha ( matokeo ya kutotumia kondom, baba wa watoto bado hajajulikana)Nasikia kiu mkubwa Mzalendo pub? bht yuko maternity leave maana Fidel80 naye haonekani....
Siyo kama Mavuvuzela ya Zuma?hehehe wewe umesomea sheria zinazohusiana na vinywaji bana hapa tunaongelea sheria za JF a.k.a mkono mtupu haulambwi. nimejaribu kumbipu lawyer wa marehemu maiko jakson aje kumpapatua TALL, lakini baada ya kumpa maelezo kasema bora ajiuzulu kuliko kuitetea hii sredi.
hii sredi ina utata kama mpira wa JABULANI.