- Thread starter
- #61
1. WEWE NI MCHAMBUZI WA MAMBO MAHIRI.Siwezi kusema story ya kweli ama la, ila haya yanaweza kutokea kabisaa.
Facts
- Kwenye facebook si watu wote wanaweka picha zao.
- Watu wana line ambazo spouses wao hawazijui kabisaa (labda hata mkeo au mumeo anayo na haujui) kwa hiyo inawezekana kabisa. Watu wana mpaka simu nne ajabu ya nini?
Nijifunzacho ktk story hii - iwe ya kweli ama ya kutunga ( I dont really care)
Udanganyifu katika ndoa upo, men and women are out hunting!!!
Ushauri wa bure kwa wachangiaji wa thread hii
Kwanini mnamwandama Tall? Possibility ya kukutana mke na mume ipo kabisaaaa, kwani watu hawaopoi ktk facebook na internet kila kukicha? Mwacheni Tall aendelee kuwa mrefu.
2.BAHATI MBAYA SIKIONI KIBOX CHA THANKS NINGEKUGONGEA.....ANGALAU WAWEZA KUONA REALITY.
3.ANGALAU WEWE HATA FACEBOOK UNAIJUA KUWA SI LAZIMA UWEKE PICHA YAKO.
4.Mhhhhhh HILO LA KUZIDI KUWA TALL ZAIDI SITII NENO