rushanju JF-Expert Member Nov 3, 2011 3,130 4,620 Jul 7, 2012 #3 Mtoe nyoka taratibu afu kata ndizi yako usepe. Ukianza kumponda utahalibu ndizi.
WA-UKENYENGE JF-Expert Member Oct 1, 2011 2,918 1,233 Jul 7, 2012 #6 Hapo unakata kichwa tu then sehemy inayobaki unamchemsha kwa mda wa masaa 2! supu yake, hutasahau milele!
Hapo unakata kichwa tu then sehemy inayobaki unamchemsha kwa mda wa masaa 2! supu yake, hutasahau milele!
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,162 Jul 7, 2012 #9 yaani hao hawakuona sehemu nyingine yoyooooote ya kufanyia mambo yao isipokuwa kwenye ndizi zako?????
yaani hao hawakuona sehemu nyingine yoyooooote ya kufanyia mambo yao isipokuwa kwenye ndizi zako?????
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,402 Jul 7, 2012 #11 hao ukishawaua ndo inakuwa nyama safi ya kuchanganya kwenye matoke
N Ngekewa JF-Expert Member Jul 8, 2008 7,705 1,288 Jul 8, 2012 #12 MadameX said: kumbe wanakula ndizi pia Click to expand... Au hata kwenye ndizi hufanya ana pia!
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Jul 8, 2012 #14 Mmmmmmmmmmhhhhhh!! Kazi kweli kweli!