Jmushi, kusema kuwa wale wasioamini kuwa kulikuwa na conspiracy basi ni MAFISADI ,yawezekana unaandika ndipo unaanza kufikiri kwani hizo conclusion zako zinakuwa papo kwa hapo bila hata kushirikisha ubongo, sorry to say this but kila mara unakuwa unajichanganya changanya sana kama vile ubongo unashirikishwa baada ya maamuzi,.