Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
-
- #101
sio anaandika vitu vingine anacopy & pest ingawa ni vizuri sana ila anatakiwa aweke source ya mahali alipotoa aya materials vinginevyo huo ni uwizi km wizi mwingine...xo next time mkuu yeriko uweke source ya materials yk unayotupa...ingawa unafanya kazi nzur sana mambo mengi tunayajua kupitia nyuzi zako big up.....
Wenye uelewa mdogo hawawezi kuelewa alichoandika Yericko Nyerere JK na Lowasa lazima watambua ni nchi siyo kuachiana kijiti kama walivyokuwa wamepanga.Hata ccm wangemleta Obama kugombea uraisi kupitia ccm bado ccm ingeshindwa kama inavyokwenda kuondoka madarakani mwaka huu.
Yaani kuna watu bado mnapoteza muda wenu kusoma nyuzi za Yericko
Mkuu Yeri Yeri, (sorry kutokutumia imposter title yako), kwanza asante kwa hadithi nzuri, japo ni cut and paste, ila umefanya kazi nzuri kuwaongezea Watanzania wengi ufahamu kwa vile sisi Watanzania wengi ni wavivu kusoma!.
Sorry to say hiyo ni simulizi imeandikwa na mtu timamu ambaye kichwa kimetulia! na sio wewe master spin doctor!.
Simulizi ya Mashariki ya Kati, umenyofoa kutoka Mgogoro wa Mashariki ya Kati - Maisha ni Vita - Blogger wakati simulizi ya Congo, umenyofoa kutoka hapa Mkataba wa kuuza Kongo huu | Gazeti la MwanaHalisi huu ni wizi wa mchana kweupe!, wizi ni wizi tuu, anayefanya wizi ni mwizi tuu, wizi wa literary work ukajifanya umeandika wewe unaitwa plagiarism, mwizi huyo anaitwa plagiarist!, japo ukiiba in good faith kwa ajili ya kuwasaidia wengine kuelimika ni wizi mzuri, ulipaswa utoa haki kwa just to mention the source!, yaani kutoa attribution, unless kama hizo kazi zote mbili, mwandishi wa kwenye original source ni wewe, then ungesema!, contrast kati ya vichwa vya ulichocopy na kichwa chako humu jf kinafahamika wazi!.
Tatizo dogo la maelezo yako yote hayo, ni kukosekana tuu kwa linkage kati ya masimulizi yako na the real case scanerio ya makubaliano ya JK na EL, kama uweza kutuwekea details za makubaliano mengine yote kwenye simulizi yako, umeshindwaje kupata hayo makubaliano ya JK na umeshindwa vipi ku link sumulizi zako na hali halisi ya JK na EL?!.
Ni ushauri tuu, next time akiamua kuwa spin doctor mzuri, don't just cut and paste, but also find the linkage itakayoweza ku link pande zote mbili ili kutengeneza a good spinning circle, ili hiyo spinning yako iwe round so that you can be abble to spin it round and round like a record ya santuri!.
Ni ushauri tuu, otherwise umenikumbusha enzi za Jason Borne!, the master copy cut wa jf!.
Pasco
Nilijua tu vitu kama hivyo Yericko atakuwa amecopy na kupaste.
Aibu kubwa ni kuwa pamoja na kucopy ameshindwa kulink mifano yake na madhara ya makubaliano ya JK na ED.
Thesis yako ipo offf the track of what you are trying to say. Poor writing skills and also hakuna mada hapa no substance no facts.
Hongera Yericko kwa andiko hili lililojaa historia.
Kuna kiasi gani cha ukweli ndani ya andiko hili nadhani si swali muhimu kwa sasa.
Shukrani mwanahistoria Yericko.
....
.....Hata aje Mtume Mohamed au Yesu Kristu atake kugombea uongozi nchini Tanzania kupitia ccn, ilimradi iwe kupitia ccm basi hao HAWAFAI na ni Laaana kuu!.
.....Kifungu kimeafikiwa !!!!
Mkuu Yeri Yeri, (sorry kutokutumia imposter title yako), kwanza asante kwa hadithi nzuri, japo ni cut and paste, ila umefanya kazi nzuri kuwaongezea Watanzania wengi ufahamu kwa vile sisi Watanzania wengi ni wavivu kusoma!.
Sorry to say hiyo ni simulizi imeandikwa na mtu timamu ambaye kichwa kimetulia! na sio wewe master spin doctor!.
Simulizi ya Mashariki ya Kati, umenyofoa kutoka Mgogoro wa Mashariki ya Kati - Maisha ni Vita - Blogger wakati simulizi ya Congo, umenyofoa kutoka hapa Mkataba wa kuuza Kongo huu | Gazeti la MwanaHalisi huu ni wizi wa mchana kweupe!, wizi ni wizi tuu, anayefanya wizi ni mwizi tuu, wizi wa literary work ukajifanya umeandika wewe unaitwa plagiarism, mwizi huyo anaitwa plagiarist!, japo ukiiba in good faith kwa ajili ya kuwasaidia wengine kuelimika ni wizi mzuri, ulipaswa utoa haki kwa just to mention the source!, yaani kutoa attribution, unless kama hizo kazi zote mbili, mwandishi wa kwenye original source ni wewe, then ungesema!, contrast kati ya vichwa vya ulichocopy na kichwa chako humu jf kinafahamika wazi!.
Tatizo dogo la maelezo yako yote hayo, ni kukosekana tuu kwa linkage kati ya masimulizi yako na the real case scanerio ya makubaliano ya JK na EL, kama uweza kutuwekea details za makubaliano mengine yote kwenye simulizi yako, umeshindwaje kupata hayo makubaliano ya JK na umeshindwa vipi ku link sumulizi zako na hali halisi ya JK na EL?!.
Ni ushauri tuu, next time akiamua kuwa spin doctor mzuri, don't just cut and paste, but also find the linkage itakayoweza ku link pande zote mbili ili kutengeneza a good spinning circle, ili hiyo spinning yako iwe round so that you can be abble to spin it round and round like a record ya santuri!.
Ni ushauri tuu, otherwise umenikumbusha enzi za Jason Borne!, the master copy cut wa jf!.
Pasco
Mkuu Yericko, kama ni kweli kuwa ni wewe ndie uliyeandika kule mwanzo, then, kosa la plagiarism nalifuta, you should have said so tangu mwanzo!.Mkuu Pasco lengu langu ni kukujenga kiakili japo uwezo wa kupokea mambo mapya ushakutoka,
Kwanza nikufahamishe kuwa makala za gogoro wa mashariki ya kati zipo nyingi nyingi sana, na kila mwandushi ameandika apendavyo, Juu ya hii makala ya mgogoro wa Palestina na Israel hii nimeiandika MIMI kwa mkono wangu enzi hizo nikiwa huko dunia ya kwanza,
Makala hii kwa mara ya kwanza nimeiandika 2010 nikiishi Moscow na ilipofika 2011 nikiwa Uchina ndipo kwa mara ya kwanza imewekwa kwenye mitandao ya internet kupitia wikileaks01.wordpress.com
http://wikileaks01.wordpress.com/2011/10/25/historiayavita-Israel-na-Palestina
Mwandishi wa Jarida la The Heartz mmoja ambae nilikutana huko mashariki ya mbali alivutiwa na makala hii, na wakati huo yeye alikuwa ameshasimulia kwa kirefu kupitia jarida lake na kupitia mtandao wa Wikipedia, hivyo "akaniomba" kuitumia makala yangu kuhariri makala zake. Nami nikamruhusu afanye hivyo.
Hiii hapa chini.
https://en.m.wikipedia.org/wiki/History_of_the_Israeli–Palestinian_conflict
Hivi ukisikia Wikipedia unatetemeka sana ndugu yangu,
Sasa nikusaidia, mwandishi wa wikipedia ametumia makala hii yangu kuhariri historia yake masaa manne tangu ilipowekwa mtandaoni 2011,
hebu jioneni hapa chini,
Last edited 4 hours ago by an anonymous user
History of the IsraeliPalestinian conflict
The history of the IsraeliPalestinian conflict started in the late 19th century and early 20th century. The end of the 19th century and the beginning of the 20th century are marked by the birth of two major nationalist movements among the Jews and among the Arabs, both geared towards attaining sovereignty for their people in the Middle East.
This conflict came from the intercommunal violence in Mandatory Palestine between Jews and Arabs from 1920 and erupted into full-scale hostilities in the 194748 civil war. The conflict continues to the present day on various levels.
Contents
Historic overview
19th century to 1920
Fileaily Life in Southern Israel under rocket fire.wmv.
Read in another language
Wikipedia ®
Mobile-
Desktop
Content is available under CC BY-SA 3.0 unless otherwise noted.
Terms of Use
Privacy
Jifunze kuandika summary...likitu reeefu hivi nani asom e au unatulipa kwa kusoma?
Mkuu Yericko, kama ni kweli kuwa ni wewe ndie uliyeandika kule mwanzo, then, kosa la plagiarism nalifuta, you should have said so tangu mwanzo!.
Sorry, na samahani sana!.
Pasco