Makosa Yale Yale yanafanyika tena

Makosa Yale Yale yanafanyika tena

Ikitangazwa Curfew hamna atakayejipendekeza kutoka mzee ule moto sio poa

Nadhani haukuingia barabarani ile Chuma ikimkuta wa karibu yako ikamfumua ubongo wewe hautamani tena kuendelea na safari

Achana na hizo assumptions kuwa risasi zitawaishia kwa SMG tu magazine inakaa risasi 30 hapo wakiamua wawalenge watawadondosha hata watu 20
sio kila mtu anapata habari haraka, kuna wengine wanatoko kuelekea shughuri za kila iku bila kujua ili wala lile,
 
sio kila mtu anapata habari haraka, kuna wengine wanatoko kuelekea shughuri za kila iku bila kujua ili wala lile,
Safari hii kila mtu atajitahidi kuwa makini na hiyo tarehe wengi watakuwa majumbani mwao tofauti na ile ya tarehe 29
 
Daah sijui ndg yangu maana nahisi watakufa wengi zaidi
Gov inajua internatinal society is now whatching kwa umakini
Hawato ua zaid, wakifanya hivyo wanajua hawato aminika anymore na internationals wata jihakikishia kuwa ni kweli

Risk is too high upande wao
 
Yale ya kabla ya Oktoba 29 ndiyo yanarejea tena tujipange ikiwa litatokea la kutokea uwe na chakula ndani na vitu muhimu kwasababu hatuwezi kuona yajayo ila tunahisi
Shauri vitu Gani

1. Sukar
2. Unga
3. Michele
4.
 
Back
Top Bottom