Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,741
- 7,264
Hakuna maandamano ya amani yanayohusu kudai haki kutoka kwa anayekukandamiza, sioni malengo ya maandamano kufanikiwa kama waandamanaji watataka wapewe sapoti na ulinzi kutoka kwa serikali.
Pili maandamano haya hayawezi kufanikiwa kama raia hawataamka kiakili Kwamaana maadui(Serikali) wamejipanga zaidi kuliko mwanzo baada ya kuusoma mchezo na kugundua udhaifu wao.
Kuna watu mtapanga nao maandamano/tricks lakin miongoni mwenu ndio hao hao wanaowasaliti na ndio hawa hawa wana ID za uaskari/ukachero kutoka kwa adui.
Kuna uwezekano pia serikali ikishindwa kuyasimamisha haya maandamano itaandaa nayo waandamanaji wake wenye mlengo wa tofauti na waandamanaji halisi, yaani hawa waandamanaji hewa wa serikali watakuwa na matamko yao.
Pia kuna uwezekano zaidi walichokifanya mwanzo hawatokirudia ili kujisafisha watatoa sapoti ya ulinzi kwa waandamanaji ambapo tunarudi kule kule kuwa huwezi kufanikiwa malengo/mipango uliyoiandaa unayotaka kuidai kwa anayekulinda ambaye wewe unampinga hilo halipo.
La mwisho kutokana na uoga, Hofu na matokeo ya kilichotokea maandamano yaliyopita, hakutakuwa na watu wengi, au wasiwepo kabisa bali kutakuwa na uvuguvugu+utulivu mkubwa nchi nzima, kila mtu alisubiri Catalyst ya kureact.
Kuanzia tareh5 DECEMBER, jiji la Dodoma&Dar es salaam ulinzi utaimarishwa zaidi ya ilivyowai kuwepo maana ndiko maeneo serikali wanaweza kufanyia sherehe zao za uhuru bandia.
Baada ya tarehe9 tutaanza kuona majibu ya visasi..mark this, iwe Kwa udogo ama ukubwa, kwa usiri ama uwazi, watu wana machungu, something is cooking
👉Note: hizi ni assumption tu zilizobase kwenye probability na prediction determined na matukio yaliyotokea, yaliyopo sio uhalisia exactly... let's wait and see
Pili maandamano haya hayawezi kufanikiwa kama raia hawataamka kiakili Kwamaana maadui(Serikali) wamejipanga zaidi kuliko mwanzo baada ya kuusoma mchezo na kugundua udhaifu wao.
Kuna watu mtapanga nao maandamano/tricks lakin miongoni mwenu ndio hao hao wanaowasaliti na ndio hawa hawa wana ID za uaskari/ukachero kutoka kwa adui.
Kuna uwezekano pia serikali ikishindwa kuyasimamisha haya maandamano itaandaa nayo waandamanaji wake wenye mlengo wa tofauti na waandamanaji halisi, yaani hawa waandamanaji hewa wa serikali watakuwa na matamko yao.
Pia kuna uwezekano zaidi walichokifanya mwanzo hawatokirudia ili kujisafisha watatoa sapoti ya ulinzi kwa waandamanaji ambapo tunarudi kule kule kuwa huwezi kufanikiwa malengo/mipango uliyoiandaa unayotaka kuidai kwa anayekulinda ambaye wewe unampinga hilo halipo.
La mwisho kutokana na uoga, Hofu na matokeo ya kilichotokea maandamano yaliyopita, hakutakuwa na watu wengi, au wasiwepo kabisa bali kutakuwa na uvuguvugu+utulivu mkubwa nchi nzima, kila mtu alisubiri Catalyst ya kureact.
Kuanzia tareh5 DECEMBER, jiji la Dodoma&Dar es salaam ulinzi utaimarishwa zaidi ya ilivyowai kuwepo maana ndiko maeneo serikali wanaweza kufanyia sherehe zao za uhuru bandia.
Baada ya tarehe9 tutaanza kuona majibu ya visasi..mark this, iwe Kwa udogo ama ukubwa, kwa usiri ama uwazi, watu wana machungu, something is cooking
👉Note: hizi ni assumption tu zilizobase kwenye probability na prediction determined na matukio yaliyotokea, yaliyopo sio uhalisia exactly... let's wait and see