Makosa Yale Yale yanafanyika tena

Makosa Yale Yale yanafanyika tena

Inawezekana pasitokee hata mtu mmoja atakayekufa kwa kupigwa risasi kama hayo maandamano yatalindwa na kuwa na uelekeo maalumu na kuishia sehemu muafaka. Shughuli pevu ni pale maandamano yatakapokosa uelekeo maalumu na kuibuka kwa fujo na majibizano makali na polisi. Itakuwa ni changanyikeni magaidi wauaji nao hapohapo watapata mwanya wa kuua walengwa wasioamini itikadi yao. Ulinzi unatakiwa uwepo magaidi ya kidini yasipate mwanya wa kuua wasioamini dini yao. Ni hatari maandamano kufanyika bila ulinzi mahsusi
 
Inawezekana pasitokee hata mtu mmoja atakayekufa kwa kupigwa risasi kama hayo maandamano yatalindwa na kuwa na uelekeo maalumu na kuishia sehemu muafaka. Shughuli pevu ni pale maandamano yatakapokosa uelekeo maalumu na kuibuka kwa fujo na majibizano makali na polisi. Itakuwa ni changanyikeni magaidi wauaji nao hapohapo watapata mwanya wa kuua walengwa wasioamini itikadi yao. Ulinzi unatakiwa uwepo magaidi ya kidini yasipate mwanya wa kuua wasioamini dini yao. Ni hatari maandamano kufanyika bila ulinzi mahsusi
 
Nahisi yafuatayo.

1 Curfew kutangazwa kuanzia tar 8

2 Polisi kusambazwa mitaani toka tar 8, kisha, kuanzia alfajir ya tar 9 kuanza kupiga mabomu ya machoz for no reason ili watu wasitoke ndani
Ikienda hivi ni vibaya duuh
 
Maandamano yanaweza kulindwa na helkopta juu ili asitokee wa kuhujumu raia na mali zao. Waandamanaji wabainishe madai yao na wanamtaka nani ayapokee maandamano yao. Wapi yaanzie na wapi yaishie kisha watu wasambae kurudi walikotoka kwa amani. Wakisema wanataka waishie ikulu au bungeni, au sehemu sensitive kwa nchi itakuwa ni shughuli pevu watakubaliana na vyombo vya ulinzi na usalama kwenda huko wanakotaka kwenda, waridhiane mapema kabla ya siku hiyo ili pasijetokea mauaji ya halaiki nchi ikaaibika kuwa ni ya kishenzi haithamini uhai wa watu wake
 
Kwa akili yangu haya maandamano ya pili yamekosewa kabisa formation...hivyo itskuwa ngumu kufanikiwa ...formation sahihi ni tofauti na hii wanayo taka kutumia ...🤔🤔🤔 kuna mbinu ya maandamano yenye kutosha sana kuliko hii wanayo taka kutumia
 
Kwa akili yangu haya maandamano ya pili yamekosewa kabisa formation...hivyo itskuwa ngumu kufanikiwa ...formation sahihi ni tofauti na hii wanayo taka kutumia ...🤔🤔🤔 kuna mbinu ya maandamano yenye kutosha sana kuliko hii wanayo taka kutumia
Iseme hiyo
 
Yale ya kabla ya Oktoba 29 ndiyo yanarejea tena tujipange ikiwa litatokea la kutokea uwe na chakula ndani na vitu muhimu kwasababu hatuwezi kuona yajayo ila tunahisi
D9 ......
 
Back
Top Bottom