Habari zenu learned sisters and brothers!!!!!
Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili. Je, mwananchi wakawaida anaweza kumkamata mtoa rushwa au mpokea rushwa na kumfikisha TAKUKURU au POLISI? Maana tunaona kaika makosa mengine ya jinai inawezekana.:eek2:
Nimekuwa nikijiuliza sana swali hili. Je, mwananchi wakawaida anaweza kumkamata mtoa rushwa au mpokea rushwa na kumfikisha TAKUKURU au POLISI? Maana tunaona kaika makosa mengine ya jinai inawezekana.:eek2: