Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Kuna nguvu kubwa inafanyika kuyafanya makosa ya aliyekuwa Naibu Waziri Sheria na Katiba kuwa ni udhalilishaji wakati kiukweli sivyo.
Makosa ya Gekul kisheria kwa Tanzania au nchi zingine ni UGAIDI maana ameteka, kaongoza kundi la wahalifu wenzake, kutesa na vitisho vya kuua pamoja na huo unyanyasaji.
Kama haki itatendeka, basi tunategemea kumuona Pauline Gekul nyuma ya nondo kwa muda mrefu wakati kesi ikiendelea kuitafuta haki.
Kuifanyia figisu kesi hii itaonyesha hata boss wa Gekul wa zamani yaani Rais Samia hana uchungu na yaliyompata huyo kijana ambaye ni kama mwanae kwa sababu ya kumlinda senior member wa CCM.
Rais haingilii mhimili mwingine lakini kwa vile ofisi ya mwendesha mashtaka iko katika mhimili wake (executive) kutotimiza wajibu wake yeye hana pa kukwepea AIBU HII.
- Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Makosa ya Gekul kisheria kwa Tanzania au nchi zingine ni UGAIDI maana ameteka, kaongoza kundi la wahalifu wenzake, kutesa na vitisho vya kuua pamoja na huo unyanyasaji.
Kama haki itatendeka, basi tunategemea kumuona Pauline Gekul nyuma ya nondo kwa muda mrefu wakati kesi ikiendelea kuitafuta haki.
Kuifanyia figisu kesi hii itaonyesha hata boss wa Gekul wa zamani yaani Rais Samia hana uchungu na yaliyompata huyo kijana ambaye ni kama mwanae kwa sababu ya kumlinda senior member wa CCM.
Rais haingilii mhimili mwingine lakini kwa vile ofisi ya mwendesha mashtaka iko katika mhimili wake (executive) kutotimiza wajibu wake yeye hana pa kukwepea AIBU HII.
- Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto