Makosa ya Edward Lowassa ni yapi ndani ya CCM?

Makosa ya Edward Lowassa ni yapi ndani ya CCM?

Ni vigumu kukuelewesha kuhusu majungu yao maana wewe upeo wako kama wa konokono,kama kweli unauliza ni majungu gani kama vile hufuatilii siasa za tanzania basi kazi ipo kubwa kukuelimisha,anyway kafute ujinga ukirudi utajua tu.
Mkuu;
Ninauliza ili nipewe jibu.

Hii ya kusema ubongo wangu ni kama wa konokono haiwezi kulifuta swali langu.

Nionyeshe sehemu ambayo inatoa huduma ya kufuta ujinga ili nihudhurie darasa la kufuta ujinga!
 
Makosa ya Lowasa ni juu ya wananchi siyo ccm. yeye na ccm yake mwaka 2007/2008 walii ngiza nchi gizani mwaka mzima hatuna umeme.wakafanya biashara zao wanazozijuwa.hatuwataki tena watu hawa nchini kwetu.walizokula zinatosha.

walisha sahau hili,cheza na akili za watanzania bora mbayuwayu ana unafuu.
 
Kosa la Lowassa CCM ni kuwa mwizi hodari kushinda wezi wenzie. Yani katika viongozi wooooooooooote duniani wa kuonesha wanakupa sapoti unamuweka JK???!!kweli TeamLowassa Mmeishiwa. Huyu JK aliyemtimua Tibaijuka in split seconds baada yakuona upepo umebadilika Daimondi jubilei?au JK mwengine?

Huyu JK anayeruka watu kila kukicha?

Inafahamika JK alifanya makosa 2010, may be kwa hofu ya kutokualienate vote base, na kumbuka Dr.Slaa wa 2010 alikuwa moto kweli kweli. Zile ni siasa.

Msimamo wa JK kuhusu Lowassa unapatikana kwenye vitendo vyake. Kila mwenye Uhusiano na Lowassa amekuwa sidelined CCM na wale waliompinga waziwazi wamepata presidential appointments in record time.

Kwenye Siasa miaka mi 5 ni sawa na miaka 100, kumbuka mwaka 2010, Zitto alikuwa Kamanda CHADEMA na Putin alikuwa anacheza golf na Obama.

kweli things are falling apart kwenye kambi yenu

watu kusoma hawajui hata picha hawaoni kwa makonda baada ya kumponda jamaa live kapewa ukuu wa wilaya,au wanadhani aliye mchagua makonda ni mangura.JK HAYUPO UPANDE WA E.L KWA SASA.
 
Asante sana kwa upembuzi yakinifu,ni kawaida ya ccm kupakana matope,walisema Dr Salim ni hizbu,ni mngazija,je wakati Mwl JKN anampa madaraka ya kiuongozi hakujua ya kuwa huyu si mzawa?inakera sana,kila siku ni EL tu,mbona hawamsemi 6 wakati juzi tu kachakachua katiba pendekezwa?mbona akina Wassira walishajiunga NCCR? na kuna kipengele kinachokataza mtanagaza nia kama alishahama chama lakini hawasemi?Kila siku hadithi za kufikirika.
 
Slowly watu wanaanza kuelewa. Lowassa hafiki kokote. The force against him is just so huge. And people that oppose Lowassa wamemzidi kwa kila kitu, kuanzia uzoefu,influence hadi weledi wa uongozi. Kinachomjaza kifua lowassa ni pesa za "marafiki" zake exiles wa CCM, rostam, chenge na karamagi. yani huyu mzee akili sijui kapeleka wapi. Nadhani anaomba wagombea wote wapigfwe radi labda ndio watampitisha huyu CCM.

Hebu tazama safu ya mawaziri wakuu walio mzidi Lowasa Kiuzoefu, kuna PINDA,SUMAYE. ukija Mawaziri waandamizi waliomzidi utumishi wa muda mrefu kuna Mwanzosya, Wassira. Ukija Diplomasia kuna Mahiga, Amina na Membe, Ukija Kete ya Ujana ni Mwigulu, January na Nyarandu. Uadilifu Kuna Makongoro, Mahiga, Mwandosya washakaba kona.Ukija Kete ya kina mama ni Malecela lady, Amina .., Sasa sioni Lowassa atapenyea CC kwa kigezo kipi. Yani he is trailing on every single important criteria. Hata CCM wakiamua kumpa outside consultant awachagulie mgombea kisayansi Lowassa hata 7 bora kuingia mtihani.Njia pekee ya Lowassa kupenya ni kama CCM wakiingiwa na uchizi.

Labda walete Kigezo cha Mgombea mwenye matumaini mengi zaidi..,na anayetia huruma kuliko wote. otherwise Lowassa kupita CC itakuwa maajabu ya karne na Sherehe nzito UKAWA. kwani 2015 watachukua nchi kiulaini kabisa.

watu muone huu uchambuzi,big up
 
He is not a serious contender but he just wants to use his late father fortune and fame. I don't think he has something new to offer.

kwani kikwete ka offer nini,mpe mtu nafasi ndo umu tathimini.ingawa si sapoti mwana ccm yoyote hata angetoka mbinguni.i need change
 
Back
Top Bottom