ndikulonda
JF-Expert Member
- Jul 20, 2014
- 390
- 186
unapozungumzia ufisadi wa lowassa unatakiwa uweke bayana ni shilingi ambazo amechukua na ushaidi wake na ukumbuke kamati ya mwakyembe hajawai kuweka ushahidi wowote zaidi ya kutumika kisiasa tu
Mpigie simu Nyerere atakueleza ufisadi wa Lowasa hata kabla ya ule wa Richmond.