Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,312
- 12,765
Wwe unadhani njia ya kuwatoa wahuni wa CCM ni ipi?Mimi sishabikii CCM wala serikali na sijawahi kupiga kura na sitowahi.
Pamoja na kutoipenda CCM ila siafiki njia za uhuni kama uliofanyika OCt 29 kufanya uharibifu , wizi na kuchoma hata Mali za raia masikini . Kama ugomvi wako ni serikali na CCM kwa nini usiende ikulu au Ofisi za CCM ?
Mimi siafiki mtu kujitoa muhanga kipuuzi , Mange mwenyewe alilinda uhai wake baada ya kupata taarifa kuwa akitoka kuandamana atauwawa