appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,881
- 3,192
Poleni na uchovu wa lockdown japo ya siku moja lakini sio utamaduni wetu so inatukera.
Mo 29 ilifanikiwa kwa ukubwa kwa sababu kuu kadhaa
Moja ilikuwa siku ya tukio la kitaifa lisilotaka watu wakae ndani lazima mtoke mkapige kura na hawawezi kuzuia mpaka muda wa kura upite ndio maana saa 12 jioni ikatangazwa hali ya kukaa ndani
Pili maazimio yale yaliwekwa wazi ilikuwa ni choma choma day na kuingia barabaran hii ilifanikiwa kwa asilimia mia
Tatu accesibility yake ilitaka waandamaji watoke ndani waende barabarani wachome matairi na kupanga mawe na magogo hivyo ikapata watu wengi maana barabara imepita kila mahali
Watu waliweza kukaa barabarani saa 6 mpaka saa 10 sababu ni karibu na makwao.
Makosa ya d9 ilikuwa ni kuwaambia watu waandamane kwa amani hakuna haki inayodaiwa kwa maandamano ya amani maandaman ya amani ni kwa ajili ya makongamano ya kanisa au msikitini tu ndio d9 ilipita kama haipp sababu ya kutaka Samia atoke kwa amani
Kosa lingine kuweka meeting poin kwamba watu woteee tukutane un hili kosa kubwa ambapo kuzuiwa kwake ni rahis kublock njia tu ndio kilichofanyika watu walitoka lakin hawakuqeza kufika un sababu ya vikwazo njian ili ufike un lazima upite uchochorin sasa mtu anatoka tegeta mpaka ofisi za un ni ngumu
Kosa lingine maandamano ya d9 ni kutokua na malengo hayakua na agemda hilo ndio kosa mo 29 agenda ilikua choma choma
Wananch wamefanya kila kitu kwa asilimia mia na bado wana nia wana roho ngumu hawakati tamaa maana wao wanachofanya ni kufuata maagizo sasa hio j12 sijui agenda ni nini
Maandamano yamefanikiwa kwa asilimia mia ukitaka kujua mafanikoo ya maandamano ni kuangalia malengo ya maandamano ni nini malengo ya m029 ni kuharibu mandamano ya d9 ni kuonesha dunia kua watanzania ni wapole na wastaarbu sio wakorofi wakifanya fujo wewe mtawala ndio mkorofi yaan ni ujumbe watu wanapenda aman hiyo ndio lilikua lengo la d9 na kubwa kukumbushia kila wanachokitaka cha samia aondoke
Shughul imeshaisha mo 29 kilichobak sasa ni kukumbushia tu ile kama hatua zisipochukuliwa inakuja kubwa zaid ya mo 29 haya yote ni mazoez na uzoefu watu wanaukusanya
Mo 29 ilifanikiwa kwa ukubwa kwa sababu kuu kadhaa
Moja ilikuwa siku ya tukio la kitaifa lisilotaka watu wakae ndani lazima mtoke mkapige kura na hawawezi kuzuia mpaka muda wa kura upite ndio maana saa 12 jioni ikatangazwa hali ya kukaa ndani
Pili maazimio yale yaliwekwa wazi ilikuwa ni choma choma day na kuingia barabaran hii ilifanikiwa kwa asilimia mia
Tatu accesibility yake ilitaka waandamaji watoke ndani waende barabarani wachome matairi na kupanga mawe na magogo hivyo ikapata watu wengi maana barabara imepita kila mahali
Watu waliweza kukaa barabarani saa 6 mpaka saa 10 sababu ni karibu na makwao.
Makosa ya d9 ilikuwa ni kuwaambia watu waandamane kwa amani hakuna haki inayodaiwa kwa maandamano ya amani maandaman ya amani ni kwa ajili ya makongamano ya kanisa au msikitini tu ndio d9 ilipita kama haipp sababu ya kutaka Samia atoke kwa amani
Kosa lingine kuweka meeting poin kwamba watu woteee tukutane un hili kosa kubwa ambapo kuzuiwa kwake ni rahis kublock njia tu ndio kilichofanyika watu walitoka lakin hawakuqeza kufika un sababu ya vikwazo njian ili ufike un lazima upite uchochorin sasa mtu anatoka tegeta mpaka ofisi za un ni ngumu
Kosa lingine maandamano ya d9 ni kutokua na malengo hayakua na agemda hilo ndio kosa mo 29 agenda ilikua choma choma
Wananch wamefanya kila kitu kwa asilimia mia na bado wana nia wana roho ngumu hawakati tamaa maana wao wanachofanya ni kufuata maagizo sasa hio j12 sijui agenda ni nini
Maandamano yamefanikiwa kwa asilimia mia ukitaka kujua mafanikoo ya maandamano ni kuangalia malengo ya maandamano ni nini malengo ya m029 ni kuharibu mandamano ya d9 ni kuonesha dunia kua watanzania ni wapole na wastaarbu sio wakorofi wakifanya fujo wewe mtawala ndio mkorofi yaan ni ujumbe watu wanapenda aman hiyo ndio lilikua lengo la d9 na kubwa kukumbushia kila wanachokitaka cha samia aondoke
Shughul imeshaisha mo 29 kilichobak sasa ni kukumbushia tu ile kama hatua zisipochukuliwa inakuja kubwa zaid ya mo 29 haya yote ni mazoez na uzoefu watu wanaukusanya