Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,278
Asante dada lakini mbona umekuwa mbogo ghafla?
Ni hii thread tu au mumeo hakurudi nyumbani jana?:A S tongue::A S tongue::A S tongue:
unataka unisaidie kumtafta au
Asante dada lakini mbona umekuwa mbogo ghafla?
Ni hii thread tu au mumeo hakurudi nyumbani jana?:A S tongue::A S tongue::A S tongue:
This is very personal experience!!!!! Please personalize it .... sijaona wanawake wengi wanaokaripia saaaana kwa kweli.... Mke wangu wakati mwingine akichukia pengine anaweza karipia ila uishia kusema samahani.
Nadhani sio swala la kuwa na mama zake, swala ni kujadili mada. Hata kama mama yake na dada zake wapo wenye mkumbo huo hamzuii asiseme. Kwa namna nyingine, ukianzissha thread inayozungumzia ukatiki wa wanaume na baba yake ni mkatili, utashangaa na yeye anachangia.
Yani kuanza kumfokea mtu mzima eti kwa nini kachelewa ni kujipa adhabu tu, kwani ye hajui kama kachelewa? akichelewa fungua mlango msalimie vizuri mpe msosi kama kalewa amka alfajiri sana mpikie supu.....maisha yanakua rahisi sana
Sijui kama unayafanya haya. kama ni kweli basi raha tupu maana wengine presha zinataka kutuua kila siku appointment hospital
Nimejifunza na nimeweza kufanya, make nlikuaga nakaa kama mlinzi, natoa macho, napika sili namsubiri baby aje tule, kila sekunde nacheki saa.....chaaaa sasa sita inagonga hamu ya kula inaisha nkajiona katika maboya mie mwenyekiti wao,nshaacha hizo biashara sahv napika nakula nalala nakoroma zangu maisha matamu tunayakoseaga tu wenyewe
Kweli, kupotezea ni jambo ninaloona linasaidia katika hali kama hiyo. Take your time and meet with her/him on an importanta issue sometimes we could spare our lives
Linasaidia si kidogo, hata mchelewaji mwenyewe anaanza kuwahi kurudi ha ha ha
unataka unisaidie kumtafta au
This is very personal experience!!!!! Please personalize it .... sijaona wanawake wengi wanaokaripia saaaana kwa kweli.... Mke wangu wakati mwingine akichukia pengine anaweza karipia ila uishia kusema samahani.
Ikibidi nimpongeze kwa alilolifanya!