Jasusi Butiama mkulu alikuwa occupied sana na muafaka wa Zanzibar, lakini there is one thing he did kule bila makelele wala watu wengi ku-notice, alimuondoa Rostam kwenye uweka hazina wa CCM bila kumfahamisha mapema, tayari alishaweka msingi kuanzia pale, inasadikwia since then jamaa hajawahi kuwa na access naye tena!, it is just politics, alikuwa anasubiri the right time awatose na sasa sio siri anawatosa, sasa hivi utasikia Rostam amekimbia nchi! Watch!
- Nildokezewa hii na mkuu mmoja aliyekua amekaa next to Rostam, anasema jamaa alihaha haijawahi kutokea, kwa kutoamini, muungwana is very good at political games, hakuna mtu yoyote wa kuwatoa wale mapacha isipokuwa ni yeye tu, sasa tizama alivyoifanya ionekane ni Makongoro!, kama alivyoifanya kule ionekane ni Mwakyembe, sasa uliza aliyemrudisha ubunge Mwakyembe ni nani? Ndio utaelewa hizi siasa za taifa sio mchezo!
- Kosa kubwa walilokosea mafisadi na they are paying for na kuelekea mwisho wao, ni pale waalipomtoa six kwenye U-Spika kwa kuwatumia Wa-Zanzibari, ndipo walipoanza kujipigilia misumari ya mwishoni kwenye jeneza lao, I mean understand hizi National politiics lini umewahi kuwasikia Wapinzani wakiwalalamikia hawa mapacha? au Mkapa? WHY?
FMEs!
mkuu nambie kwann wapinzam hawapig kelele kuhusu
NO.
Sioni mchezo, bali ni nguvu ya umma tu behind mtikisiko uliokikumba chama cha magamba-ccm.
Nguvu ya umma iliyokuwa nyuma ya SIX haingemruhusu JK kumtosa .Nguvu ya umma iliyokuwa nyuma ya Mwakyembe haingemruhusu JK kumtosa.Hii ina maana kwamba kuondoka kwa Six na Mwakyembe kungekibomoa haraka ccm kuliko hata wakina RACHEL kukibomoa chama.
JK alitikiswa na nguvu ya umma iliyokuwa nyuma ya watu hawa si vinginevyo.UONGO, UONGO.
Hata sasa kina RACHEL wanafukuzwa na hofu ya nguvu ya umma inayotishia kukitosa ccm,BASI.Analysis yako si ya kweli kwa maana ina lengo kuficha udhaifu wa JK kiuongozi. Usimpe hadhi asiyostahili.Huyu hajengeki ni tatizo kwa ccm na nchi nzima. Kumbuka wakati wa uongozi uliotukuka wa ccm, makundi yalikuwa ni dhambi kubwa.Huyu JK, ndiyo kaanzisha uongozi wa makundi ndani ya ccm, na sasa, ccm inalipa gharama kubwa, uongozi wake umekipasua chama makundi makundi.
Inawezekana wewe ni mmoja wapo walioshindwa kumshauri vema JK hadi kukifikisha chama hapo kilipo,kiko HOI.Sasa mnajaribu kumjenga kwa kumpachika personality asiyo nayo. After all makundi siyo sifa nzuri kwa kiongozi yoyote. The divide and rule unayoisema haisaidii taifa changa kama Tanzania bali inasababisha matatizo mengi kama, ukabila, udini, ukanda mambo ambayo yameinuka wakati huu wa kipindi cha utawala wa JK. Pole sana kwa hiyo PR job uliyopewa, angalia njia nyingine ya kumjenga na sio UBINGWA WA KUGAWA WATU KIMAKUNDI. Hapana.
Hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiii.
Bwana mdogo unataka wapinzani wapige kelele kiasi gani? Tell me matokeo ya kujivua gamba, ingawaje gamba lingine linachipuka, yametokana na nini ? Kama si wapinzani? The list of shame ilitajwa na kina nani au ni Nape ndiye aliyewataja?
Lete topic nyingine tujadili hapa, maana tatizo lako ni kwamba unapewa tu na unaowaita WAKULU,bila kuichambua vizuri.