Makongoro, Muhongo wageukia Ubunge

Makongoro, Muhongo wageukia Ubunge

Mkuu makamanda wamepagwa kweli kila mmoja anakuja na ushahuri wake.

Teh teh teh

Naona unajiandikia comment kwa simu na kujijibu kwa Laptop, Pro-CCM mna shida Sana
 
Huyu cha pombe labda Urais angeweza maana kuna watu wa kumzuia asinywe pombe. Ubunge hawezi maana atakuwa analala baa.
Kamamda msome Dr.Slaa kiduchu hapa chini.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa mpya baada ya kueleza kuwa kitakapofanikiwa kushika dola kitaruhu Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) kutengeneza mitambo ya kutengenezea pombe aina ya gongo. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Willbroad Slaa, akizungumza na wananchi wa Jimbo la Kasulu Vijijini alisema kama gongo itatengenezwa kwa mitambo maalum itaondoa mianya ya rushwa kwa polisi ambao wamekuwa wakiwakamata wanaotengeneza kwa kificho na kuwafanya vitega uchumi vyao."Gongo sasa hivi ni haramu sababu inatengenezwa kwa kificho katika mazingira machafu, tukishika dola tutataka SIDO itengeneze mitambo ya kutengeneza gongo ili iwe katika hali ya usafi,".
 
Kamamda msome Dr.Slaa kiduchu hapa chini.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa mpya baada ya kueleza kuwa kitakapofanikiwa kushika dola kitaruhu Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) kutengeneza mitambo ya kutengenezea pombe aina ya gongo. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Willbroad Slaa, akizungumza na wananchi wa Jimbo la Kasulu Vijijini alisema kama gongo itatengenezwa kwa mitambo maalum itaondoa mianya ya rushwa kwa polisi ambao wamekuwa wakiwakamata wanaotengeneza kwa kificho na kuwafanya vitega uchumi vyao."Gongo sasa hivi ni haramu sababu inatengenezwa kwa kificho katika mazingira machafu, tukishika dola tutataka SIDO itengeneze mitambo ya kutengeneza gongo ili iwe katika hali ya usafi,".

Pro- CCM shida sana, hapa topic ni Makongoro na Prof. Muhongo. Hiyo yako ianzishie topic yake
 
Anatafuta uwaziri...

Huyu Mhongo sio mwanasiasa haya mambo ya ubunge atayaweza wapi..? Ana majibu ya nyodo na hanaga busara kwenye kujibu hoja za kuudhi.. Hebu arudie mambo yake ya kisomi aliyokuwa akiyafanya kabla ya kuingizwa siasani na JK..
 
Mbona alishaboronga first time alivyopewa..? Aliingia na arrogance na wakam-fix faster na attitude yake..

Kiukweli huyu jamaa ukiacha mbwembwe na mabavu, ni kiongozi mzuri...

Isipokuwa alikutana na wenyenchi wakaona anawaharibia michongo yao...

Akiwa waziri huyu bwana alianza kuinyoosha wizara yake haswa kampuni kama TPDC wanamjua sana...

Sasa hivi hayupo ndio unaona wanataka kupitisha miswaada tatanishi kama huu wa juzi wa gesi na mafuta...
 
Back
Top Bottom