Makongoro, Muhongo wageukia Ubunge

Makongoro, Muhongo wageukia Ubunge

Mwanangu mwenyewe Makongoro kakurupuka sana nadhani hakupata washauri wazuri. Kawe sio pa rahisi kuna dalili za kuvuliwa nguo na Bi Halima.
Kwi kwi kwi kwi!!!
 
Makongoro anaogopa kumuudhi Mukono, lakini jimbo la Butiama angepita kirahisi. Kawe anahangaika bure, hatopata kitu. kwa ccm.
Kamanda usimpangie yeye kaamua kugombea Kawe wewe wasiwasi wako nini?
 
Siasa hizi ni balaa nimecheka sana wiki mbili zilizopita wafuasi wa Chadema walikuwa wanamshangilia sana Makongoro Nyerere kuwa kiboko ya mafisadi, anakwenda kugombea ubunge Kawe wamebadilika tena.

Makongoro njembe mimi ni mkazi wa Kawe kura yangu takupa ukapambane na mafisadi bungeni.

Makamamda tumpeni kura Makongoro.
 
Mako bora angeenda Arusha tu kumchomoa huyo jamaa wanayedai anakubalika wakati hakufikisha hata 50% ya kura zote zilizopigwa mwaka 2010.
 
haya tuone wanafiki chagadema kama wataendelea kumshabikia, nakumbuka walikuwa wanamshabikia sana kwenye kinyang'anyiro cha kupitisha mgombea urais ccm. hadi leo sijajua kwanini walikuwa wanamshabikia


hahahaha ankwenda kumtoa mdee.... lazima wamgeuke.... hahaha!
 
Mako bora angeenda Arusha tu kumchomoa huyo jamaa wanayedai anakubalika wakati hakufikisha hata 50% ya kura zote zilizopigwa mwaka 2010.
Kamanda mbona hamtaki Makongoro agombee Kawe?
 
Kamanda usimpangie yeye kaamua kugombea Kawe wewe wasiwasi wako nini?


makamanda hawakutarajia hili... hehehe! ila mako atachukuwa jimbo kiulaini KAWE halima hana chake ... hamtakati tena
 
makamanda hawakutarajia hili... hehehe! ila mako atachukuwa jimbo kiulaini KAWE halima hana chake ... hamtakati tena
Mkuu makamanda wamepagwa kweli kila mmoja anakuja na ushahuri wake.

Teh teh teh
 
Unayafahamu majimbo ya musoma au ume_comment tujue umepita kwenye huu uzi?
Makongoro anaogopa kumuudhi Mukono, lakini jimbo la Butiama angepita kirahisi. Kawe anahangaika bure, hatopata kitu. kwa ccm.
 
Ndugu muhongo nakuunga mkono kwenda jimbo hilo pamoja na kufanikisha upatikanajibwa umeme vijijini hata kuke majita, nadhani sasa utatembea hata kwa miguu hasa wkt wa mvua maeneo yenu ya mgango kwenda butata kupitia chumwi na mlangi lilipo eneo korofi sana wkt wa mvua, maana nimekwenda sana vijiji hivo mpaka nilichukia kwa nn nilipangwa huko.

Yule mzee mkono hata sitaki kumuona, maana hata majita hapajui au kuwasiliana na mh. Pombe anayejua idadi ya barabara zote angalau akamwage vifusi hata vya strabag vilivyo kwanguliwa kwingine.
 
Kwa nini pro-Chadema mnaogopa Makongoro Nyerere kugombea Kawe?
 
Mkuu makamanda wamepagwa kweli kila mmoja anakuja na ushahuri wake.

Teh teh teh

Makongoro alikuwa ana mvuto wa kujiuza ndani ya CCM kuwashinda waliokuwa watia nia wenzake , ila ukweli ni huu "(MAKONGORO hawezi kujiuza mbele ya bibie HALIMA pale kawe)"
 
Mako na Kawe.......wapi na wapi.Halima namba ingine na wala Mako asijaribu kabisa.Amekosa uraisi basi arejee nyumbani na ataendelea kuheshimika na tuko tayari kuitunza familia hii kwa kodi zetu mpaka mwisho wa maisha yetu
 
Siasa hizi ni balaa nimecheka sana wiki mbili zilizopita wafuasi wa Chadema walikuwa wanamshangilia sana Makongoro Nyerere kuwa kiboko ya mafisadi, anakwenda kugombea ubunge Kawe wamebadilika tena.

Makongoro njembe mimi ni mkazi wa Kawe kura yangu takupa ukapambane na mafisadi bungeni.

Makamamda tumpeni kura Makongoro.

Huyu cha pombe labda Urais angeweza maana kuna watu wa kumzuia asinywe pombe. Ubunge hawezi maana atakuwa analala baa.
 
Back
Top Bottom