Taarifa zilizopatikana hapa tabata (Kimanga mwisho) zimesema kuwa Makongolo amenaswa na polisi hapa Tabata na anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi. Tuendelee kufuatilia zaidi.
Taarifa zilizopatikana hapa tabata (Kimanga mwisho) zimesema kuwa Makongolo amenaswa na polisi hapa Tabata na anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi. Tuendelee kufuatilia zaidi.
Huyo msomi feki wa phD akalale Segerea, na afike Mahakamani. Kufa kivyako mafisadi wenzio wala hwatakuokoa, ashukuru Mungu hajachomwa moto na wenye hasira naye, pumbavu