doctor mwanafunzi
Member
- Jun 16, 2024
- 48
- 59
Moja kati ya kazi zenye watoa huduma wasiojua kujali wateja ni makondakta wa daladala
1: Kuwa wakali sana kwa wateja au abiria
Hii ni moja kati ya kero kubwa sana kwa abiria hawa jamaa hawajali kama wanaongea na mtu mzima au mtoto kazi yao ni kufoka tu hata ukidai chenji kitu ambacho ni haki yako
2: Usafi
Japo kuwa wanavaa sare ila zinakuwa ni chakavu sana na wakati mwingine hata kutoa harufu
3: Kuvuta sigara/ bangi
Kiukweli hawavuti sigara wakiwa ndani ya gari ila huwa wanasubiri maeneo ya kusubiria abiria then wanaenda nje ya gari hususani nyuma ya gari wanavuta bila kujua kwamba moshi unasambaa na wakati mwingine huwa unafikia abiria kitu ambacho ni hatari sana kwa afya.
Hayo ni maoni yangu
1: Kuwa wakali sana kwa wateja au abiria
Hii ni moja kati ya kero kubwa sana kwa abiria hawa jamaa hawajali kama wanaongea na mtu mzima au mtoto kazi yao ni kufoka tu hata ukidai chenji kitu ambacho ni haki yako
2: Usafi
Japo kuwa wanavaa sare ila zinakuwa ni chakavu sana na wakati mwingine hata kutoa harufu
3: Kuvuta sigara/ bangi
Kiukweli hawavuti sigara wakiwa ndani ya gari ila huwa wanasubiri maeneo ya kusubiria abiria then wanaenda nje ya gari hususani nyuma ya gari wanavuta bila kujua kwamba moshi unasambaa na wakati mwingine huwa unafikia abiria kitu ambacho ni hatari sana kwa afya.
Hayo ni maoni yangu