Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,933
- 46,852
Ujinga mtupu na kutokuwa makini katika ubunifu
Hivi think tank wetu wana IQ ya ngapi?
Watu wanakufa kwa ajali badala ya kuwapa mafunzo madereva na kuwapiga faini kubwa sana wamiliki wasiofanya service magari yao na kusababisha ajali eti wamebuni Bonge la ajira na ulaji what a joke
Hivi think tank wetu wana IQ ya ngapi?
Watu wanakufa kwa ajali badala ya kuwapa mafunzo madereva na kuwapiga faini kubwa sana wamiliki wasiofanya service magari yao na kusababisha ajali eti wamebuni Bonge la ajira na ulaji what a joke