Makondakta wa Daladala sasa kusoma CBE kwa mujibu wa kanuni kabla ya Kuajiriwa kuanzia 01/07/2022

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,789
143,241
LATRA imesema kuanzia 01 07 2022 makondakta wote wa daladala wanatakiwa kupata mafunzo Chuo Cha Biashara CBE kabla ya Kuajiriwa na kutambuliwa rasmi kisheria.

Mkurugenzi wa LATRA mh Kahatano amesema sheria hii mpya inawahusu pia makondakta wa mabasi ya mikoani na vijijini.

Chanzo: ITV habari
 
Huo mtawala unahusu nni mpaka kuwepo na hili
Noamba mwongozo kwenye hili

Nb
Ni bora kurasimisha mfumo mzima wa utoaji huduma za usafirishaji nchini
 
Sipati picha Huko darasani itakuaje maana Kwa akili za bangi za makondakta hao waalimu kazi wanayo!!!!
Poleni sana waalimu Kwa kupewa kazi ya kuwafundisha wendawazimu
 
LATRA imesema kuanzia 01 07 2022 makondakta wote wa daladala wanatakiwa kupata mafunzo Chuo Cha Biashara CBE kabla ya Kuajiriwa na kutambuliwa rasmi kisheria.

Mkurugenzi wa LATRA mh Kahatano amesema sheria hii mpya inawahusu pia makondakta wa mabasi ya mikoani na vijijini.

Chanzo: ITV habari
Upigaji mwingine wa ada za shule. Qualification za entrance ni zipi?
 
Wanatafuta kukusanya kodi za dhuluma...

Watu walishafeli shule, leo hii uwarudishe tena darasani...
 
Kwahiyo wakasomee costomer care kwa wiki moja then waajiriwe!
ELIMU ya Bongo sometimes ni upumbavu mtupu.
Mpaka mhadhiri wa chuo kikuu kitivo cha biashara na uchumi hajajiajiri kwa kutumia elimu yake badala yake anategemea mshahara na posho tu.
 
LATRA imesema kuanzia 01 07 2022 makondakta wote wa daladala wanatakiwa kupata mafunzo Chuo Cha Biashara CBE kabla ya Kuajiriwa na kutambuliwa rasmi kisheria.

Mkurugenzi wa LATRA mh Kahatano amesema sheria hii mpya inawahusu pia makondakta wa mabasi ya mikoani na vijijini.

Chanzo: ITV habari
Takataka

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Sipati picha Huko darasani itakuaje maana Kwa akili za bangi za makondakta hao waalimu kazi wanayo!!!!
Poleni sana waalimu Kwa kupewa kazi ya kuwafundisha wendawazimu
kesho na keshokutwa utasikia kozi ya wapiga debe, ila anyways elimu ni muhimu, ngoja tuone mtaala utahusisha nini japo kwangu naona kama ni chanzo kingine cha mapato tu.
 
Back
Top Bottom