Baraghash
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 2,713
- 1,790

Hon. Hussein Ibrahim Makungu (Bhaa)
Mhe.Hussein Ibrahim Makungu (Bhaa) Mwakilishi na Mbunge amelitaka Baraza la Wawakilishi kuunda Tume ya kumchunguza Mkuu wa Mkoa Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud ambae anajuulikana kama Makonda wa Zanzibar kwa maamuzi yake ya kibabe ikiwemo kuwatia ndani wananchi ovyo kwa utashi wake, kuzivunja nyumba za wananchi kwa sababu za kisiasa.

Wwakilishi walisema Mkuu wa Mkoa hana haki wala Mamlaka ya kuwa vunjia wananchi nyumba isipokuwa Mahakama Kuu tu.